Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

Kusema ukweli Rwanda wanajimwambafai TU ila hakuna kitu, anayebisha hajafika huko ila wale tulio na uzoefu wa huko tunakuunga mkono.

Hata Binti anayevutia kidogo akifikisha 40+ unamkimbia, Hana mvuto kama hawa akina Fatma ndalandefu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…