Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?

Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Aisee..
 
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?
Kwanza hongera sana kusafiri. Kusafiri ni moja ya hobbies zangu. Na nikiwa safarini napenda kula vitu vizuri, hivyo usiishie kula vya hotelini, ingia mitaani nenda kale the local stuff Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
The beauty is within the beholders eyes!. Unaweza usione!
Karibu mitaa hii Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!.
Juzi kati nilikuwa hapo jirani, angalia vitu...

P
 
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?

Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Nenda sehem zile za gharama utakutana nao.
 
Uzuri wa wanyarwanda upo kwenye viharage vyao ,wengi vimevutwa ni virefu ukijua namna ya kuwasisimua vinasimama wima halafu ukiwachapa vilivyo wanamwaga sana mma
We Bingwa umenikumbusha mbali. Nilikuwa na Manzi ya Kinyarwanda huko Masumbwe. Ilikuwa inanisisitiza nokivute cute basi nikawa nakivuta Hadi Raha. Kila nikivuta mnara unasoma 4G. Alisema wakizaliwa tu kinavutwa vutwa Hadi kinakuwa kirefu. Raha sana
 
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?

Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Uliwapania sana.PUMZIKA
 
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?

Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Hao wengi wao inaweza kuwa ni celebrities na wale wanaojiuza mitaani,kwahiyo mara nyingi hawapatikani mitaani ila wana sehemu zao maalumu,kwenye clubs za usiku,beauty parlour,maeneo maarufu ya starehe za usiku n.k......
 
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?

Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Nakupa siri mkuu: Tanzania ukiona watu wengi wanalisifia sana jambo ujue lina mapungufu makubwa... lile wanaloliponda sana ndio unapaswa kulifuata maana ndilo lenye faida..
 
Back
Top Bottom