Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

Nakupa siri mkuu: Tanzania ukiona watu wengi wanalisifia sana jambo ujue lina mapungufu makubwa... lile wanaloliponda sana ndio unapaswa kulifuata maana ndilo lenye faida..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?

Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Rwanda haina tofauti na India kwenye movies na series zao unawaona wazuri sana ila ukija kwa ground ni wabovu kinoma

Somalia ukipishana na wanawake 50 basi pisi kali ni 49

Nchi nyingine inayosifiwa ujinga ni Ethiopia

Somalia, Botswana na Tanzania huku warembo ni wengi sana,Tanzania inaongoza kua na warembo wengi wenye njaaa
 
Rwanda haina tofauti na India kwenye movies na series zao unawaona wazuri sana ila ukija kwa ground ni wabovu kinoma

Somalia ukipishana na wanawake 50 basi pisi kali ni 49

Nchi nyingine inayosifiwa ujinga ni Ethiopia

Somalia, Botswana na Tanzania huku warembo ni wengi sana,Tanzania inaongoza kua na warembo wengi wenye njaaa
Wenye njaa tena...!
 
Rwanda haina tofauti na India kwenye movies na series zao unawaona wazuri sana ila ukija kwa ground ni wabovu kinoma

Somalia ukipishana na wanawake 50 basi pisi kali ni 49

Nchi nyingine inayosifiwa ujinga ni Ethiopia

Somalia, Botswana na Tanzania huku warembo ni wengi sana,Tanzania inaongoza kua na warembo wengi wenye njaaa
Et wenye njaa 🙄🙄😆😆😆,umetukosea wa tz
 
Futa kabisa hiyo kauli ya kuwafananisha hao malaika na hawa dada zetu wanaoenda uturuki kufanyiwa operation ya kuongeza makalio.
 
Hawana lolote maneno tu yamitandao tz kunamadem wakali nawasafi congratulations dada wa tz
 
Back
Top Bottom