Nipo Singida leo

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Nipo Singida leo.
Ni hilo tu usichukie,kama kuna mwenyeji naomba ajitokeze japo niufahamu mji wa Wanyaturu.
 
Ijapokua ni kamji kadogo lakini Usiondoke bila kufika KBH {Kantala Beach Hotel.
 
Kuna wadada wazuri pia...tupia jicho
 
Nipo Singida leo.
Ni hilo tu usichukie,kama kuna mwenyeji naomba ajitokeze japo niufahamu mji wa Wanyaturu.

daah umeenda msimu wa kibaridi.. ungeweka interest zako ungepata ushauri mzuri zaidi....
MUDA HUU PITIA PALE UBUNGO/AZAM UTAFUNE KUKU WA KIENYEJI KIDOGO... AU PALE CRDB/TRA KAMA UNAPANDA KIRIMA BAR UPANDE WA KULIA UNYWE MAZIWA MOTO YA NG'OMBE wa kienyeji.... uwe makini kutembea usiku sio mji salama sana na una matukio ya ajabu na wizi... kama umefikia lodge uwe makini usiache vitu vya thamani chumbani kuna wizi mno..hii uhusisha hata zile lodge kongwe na maarufu mfn. stanley... ukilala rum usitoe funguo kwenye tundu ya mlango watu wana funguo mbilimbili...
**waweza enda singida motel kwa wastaarabu
**aqua vitae
**.kesho mchana kama utakuwa hujafunga nenda town maeneo ya sokoni/msikiti wa kati au ulizia tu kwa josiah ukapige ndizi na mishikaki kaanga.... msosi mzuri ulizia singapore au safina restaurant(snacks)
 
chondechonde usivamie wanawake wa huko... DONT ASK ME WHY.... BUT I INSIST DO NOT UNDERESTIMATE THE POWER OF TURU GIRLS... WAAACHE KAMA WALIVYO
 


Haaaaaaaaah kwa josiah, ndizi na mishikaki eti eeh?
 
chondechonde usivamie wanawake wa huko... DONT ASK ME WHY.... BUT I INSIST DO NOT UNDERESTIMATE THE POWER OF TURU GIRLS... WAAACHE KAMA WALIVYO


VANMEDY tumefanyeje wenzio?
 
Haya fanya umuelekeze maeneo ya kujidai huko... sijui kama ata koti analo... tena wewe usikute tunajuana wewe ahahahaaa

Haaaaaah we si ushamaliza kila kitu! Hadi kwa josiah kabisa kuna mdau kasema KBH hapo nadhani ameelewa!
Haaaaaaaah mi wazamani huwezi nifahamu banaaa
 
amucha uriii !!! hii ndio salamu yetu wanyaturu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…