Si kubwa kabisa, pia ndio maana nimeandika pale juu mimi 29 umri namba ila sina tofauti kabisa kimuonekano na mwenye miaka 24 mpaka muda mwengine initiatives hasira dogo tu wa 27 anakitwa dogo.
Nje ya mada kuna sehemu nilifanya kazi kuna scenario ilitokea Mlinzi akaanita "huyu dogo" nilimaindi ilikaa moyoni natafuta Angle nimchane aache ufala, alafu baadae yule mlinzi anapiga stori kwenye stori anawaambia Ana umri wa 24 mimi apo nina 29 Fala nimempita 5 ananiita dogo.
I short huyo huyu mwanamke atazeeka mimk bado naonekana kama nina 28.
umetaja jackpot mwili umesisimka.Jaribu kutafuta na huku unaweza ukafanikiwa kijana usichoke. Alafu zamani sisi vijana Ukitaka kuowa angalau unakuwa na sample zako kama tano hivi unathaminisha kati ya hizo sasa we umeibuka na mmoja tu kama jackpot ya Bko.
πππ wewe ni mwanasiasa mno!Fundi cherehani na fundi nguo ndio hao hao washona cherehani?
Sema hawa 27 na 28 kuna sometimes nao hawataki ndoaKwasababu 29 ndio umri wako na hiyo 24 ndio akili zako,
Miaka 20 achanana nae,utapata uchizi utembee uchi Barabarani,tafuta mwingine ambae atleast awe na 27 to 28
Ukishindwa kabisa zama kwa lishangazi limoja utulie nalo.
Waislamu mnaoa dogo dogoNachoshangaa mbona wapi walio maliza Form Four mwaka jana tu wana miaka 18 wanaolewa wengi yeye Ana nini.
πππ20 bado sana subiri mileage zisome kwanza wahuni washenyente then atakutafuta
Mshukuru MUNGU, anakuepusha na uamuzi mbaya . Usioe kwa ajiliWadau Saluti
Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%
Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Hapa munanishauri vipi wadau
Usijidanganye tena kwa mwanamke ni bora age difference iwe hata above 10 years!!!9 years age difference ni kubwa sana........ Age difference isiwe above 6 years
Ni kawaida hyo mim mwenyew nipo kwenye late 20's lakin wadada weng wanajua nipo na miaka 24 au 25 huw nawatania unajua mm ni kaka yenu hawaamini, utani mwing sana lakin iko hivi mwanaume usije ukajichanganya kuoa mwanamke unayelingana naye umri yaan wanazeeka haraka sana hawa viumbe!!!Si kubwa kabisa, pia ndio maana nimeandika pale juu mimi 29 umri namba ila sina tofauti kabisa kimuonekano na mwenye miaka 24 mpaka muda mwengine initiatives hasira dogo tu wa 27 anakitwa dogo.
Nje ya mada kuna sehemu nilifanya kazi kuna scenario ilitokea Mlinzi akaanita "huyu dogo" nilimaindi ilikaa moyoni natafuta Angle nimchane aache ufala, alafu baadae yule mlinzi anapiga stori kwenye stori anawaambia Ana umri wa 24 mimi apo nina 29 Fala nimempita 5 ananiita dogo.
I short huyo huyu mwanamke atazeeka mimk bado naonekana kama nina 28.
Huyu haelewi kuwa zana ya mwanamke ni kuzeeka haraka kuliko mwanaume... Mimi baba yangu alimzidi mama miaka 10+...leo hii mama ndo ana mvi nying kichwani na huku mkoani nilipo kwa wanyakyusa wana miili mikubwa mno yaan unakuta litoto la 2005 au 2006 unaweza kulisalimia ukijua ni limama jitu zima kumbe litoto tu!!! πππkwa mwanaume na mwanamke si kubwa sana.
Muangalie Majizo na Lulu Michael. Mfano mwingine, JK, na Nyalandu wamewazidi wake zao miaka zaidi ya 10.
Mkuu huna point kaa kimya tu.... Ng'ombe hazeeki maini na ndo maana Mzee Machache alimuoa Jackline Ntuyabaliwe bila hiyanaπππ....MKUU mwili ni base time kadri miaka inapanda juu mwili na activities zake zote za NDANI zinapungua πme siongelei physical appearance yako
Kikubwa hapa ni Nguvu Mkuu sawa utakua unaonekana young ila Nguvu za mwili zinakua chini Sana
Mwenzako ana 50 we umegonga 60 ........... Mbali Sana hapa atakusumbua na at this age wanawake Ndio huwa na appetite ya kucheat kwa kiwango kikubwa na wewe unakua umeshachoka kinguvu
tatizo utoto ndio unakusumbua, nini sasa hiki umeandika? Huyo dem ashaona hawezi kuolewa na mlamba lips wa makumbusho kazi kuvaa vinjubga, socks ndefu na yeboyebo na kufuga mandevu kama talibanMimi 29 ila kimuonekano unaweza jua 24 mpaka nikulazimishe sana ndio ukubali 29
Hivi ni kushona nguo au kushona cherehani? Anatoa sababu gani ya kukataa?Wadau Saluti
Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%
Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Hapa munanishauri vipi wadau
20 yrs si mwanamke ni mtoto wa kike.Wadau Saluti
Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%
Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Hapa munanishauri vipi wadau