Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Mimi
he dada,yaani usifikie kwa kaka ako,mdogo wako,baba mkubwa/mdogo,ufikie gesti?watasema analinga kwa kuwa ana hela,dawa ni kujiongeza tu,piga kabla yao huko mtaani...
Mimi huwa sipendi kufukia kwa ndugu bake, labda kwa kaka au dada, na hiyo ni nadra sana
 
Hata katika biblia Dorcas alililiwa sana na Yatima na wajane. Ndio hivyo vizuri havidumu sana.

RIP mzee.
 
Aaaah watu wapikiwe wale washibe haswa mambo mengine sio bajeti ni uchoyo
 
[emoji1] [emoji2] [emoji1]
 
Ila ugenini kunaweza kukufanya usiwe na raha kuna sehemu nilifikia kabla ya kulala usiku wanaka ibada wanakusanyika sebuleni wakiamka ahsubuhi saa 12 kaibada nami sijazoea hiyo michongo
Wewe si evilspirit..

Kidding
 
[emoji3][emoji3]housegirl akaingia jikoni mida mibovu kurusha ugali
 
Hapo wanakufukuza kijanja.. Hawataki kukuona na inawezekana unalala sebuleni au nawatoto..
Usikute wala sio swala la kutaka kumfukuza ila ndo maisha yao,usiforce mfanane wala usitake kuwapa kazi wao kukufanyia interview kujua ulaji wako ukoje ila ni jukum lako kuswitch na mtindo wao wa maisha kwa muda utakaoishi nao
Mimi siamini kwmb Dsm watu wanakula kidg sijakutana na iyo experience kabsa kwa ndugu zangu wa Dsm,misosi ni shaziiii
 
Uwe unakula huko mtaani ukirudi unalala tu mbona rahisi sana
Au siku moja nunua chakula hapo pika kingi uone kama hawatakula msosi mwingi na wao
Hili nalo la msingi,siku moja omba kuingia jikoni tena shopping ya ivyo vyakula ifanye mwenyewe usiguse vilivyoko ndani afu pika vya kutosha tia mezani kuwa wakwanza kula tena wakiwepo wote,tia ujazo wa kutosha mtoto haruki [emoji23][emoji23] uwasikilizie zamu yao au unasepa unaachana nao utarud badae kuona walichobakisha
 
MAma alikua mtu poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…