Akijadiliwa cnn na aljazera ndio anakuwaje?Lissu watamjua wapi huko Nakonde? Nakonde ni kama Nanjilinji tuu watajuaje mtu wa kiwango cha Lissu anayejadiliwa Aljazera, CNN na Reuters?
Acha masihara bibie!
Hahahaaaaha! Kama ukisema Kiroho naweza kukuelewa sio kimwili lakini.Usimfananishe Yesu na vitu vya ajabu... Yesu yupo hai
huyu jamaa aliniudhi kushindwa ile vita bora angeshinda na kuendelea kututawala huwenda akili zetu zingekaa sawa uvivu na maneno mengi yangeisha tungekuwa na uwezo wa kujaribu na kufanya na sio uoga tulionao.Hitler mpaka leo watu wanamkumbuka sii kwamazuri aliyoyafanya bali kwa ukatili, mauwaji na mambo mengi maovu aliyeyatenda. Hata sisi hivi hivi tunamkumbuka
Kamfufue ikiwezekana ule nyama yakeUnawatibua makamanda uchwara.
Ligaidi linaendelea kusota kolokoloni. Nenda kalipelekee uji.Kamfufue ikiwezekana ule nyama yake