Nipo Zambia, kila Mzambia ananiulizia habari za Rais Magufuli

Nipo Zambia, kila Mzambia ananiulizia habari za Rais Magufuli

NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo
Upo Zambia maeneo gani mbona sikuoni?
 
Kapimposhi=kapilimposhi.
Kasumulo=kasumulu
Achana na huyo mjinga ametoka Chato vichakani amefika mpakani Zambia basi anahisi amekanyagwa ardhi ya Geneva au Manhattan Kinga kabisa.

Analeta mada ya kipumbavu sana
 
Watu bado wanaendelea kuwazungumzia akina Adolf Hitler, Iddi Amin kwa hiyo kwa mtazamo wako kwa kuwa wanazungumziwa nao ni immortals
Kwani kunaubaya Iddi Amin akiwa immortal? Kwenye kundi la Tupac, Out-Lawz kuna jamaa alijiita Iddi Amin. Sio kisa aliingia vitani na Nyerere ukadhani dunia nzima ilimuona hafai. Kwani Yesu hawakumsurubu kwa kumpa hatia mbalimbali? Mohammad kapigana vita ngapi na kuuwa pia?

kuua watu wakati mwingine ni jambo la kumsifu Mungu, soma historia ya taifa la Israel kwa mfano, wafalme wake wamepigana vita ngapi na kuuwa wangapi kwa kigezo cha utaifa teule. Ubaya ya Hitler, Khadafi na hata Iddi Amini umeongezewa chumvi za propaganda. Nobody is perfect, Magu is immortal.
 
Sawa wahadithie tu! Ila kwa sasa yupo kiongozi mwingine na wengi tunampenda sana!
 
NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo

Hapa ni sawa na kusema watanzania tulikuwa tunamsifia Mugabe. Ni hivi, ibilisi hatakati hata kwa JIK.
 
Wengi wanamkubali kwasababu ya msimamo wake dhidi ya korona. Walakini hawajui kama alikuwa mwonevu, mtesaji na mwovu kuliko yeyote aliyemtangulia.
Haya tunayajua sisi humu Tanzania.
Huko nje wanasikiliza tu lakini hawaishi Tanzania. Ndiyo maana nawaambia wanaomsifia Gadafi kuwa walipaswa kuishi kama raia wa Libya ili kumfahamu Gadafi vizuri.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
We nae umeongea nini sasa Gadaffi kumjua hadi uishi libya kwan yeye ni Mungu


Hata biblia inasema kama bwana ataangalia matendo na dhambi zetu nani atasimama
 
NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo
Sina shaka hata kidogo na uliuoyaandika, sikupata bahati ya kuongea sana na Wazambia wakati nikiwa huko lakini Wacongo wa Lubumbashi wanamfananisha Mzee Magufuli na Mkombozi wao Patrice Lumumba. Walitaka Mzee Magufuli angoze Congo DR hata kwa miaka mitatu tuu, na hawatajali utaifa wake na wange mtimizia masharti yote ya kugombea na kampeni.

Hali hiyo nilikutana nayo South Sudan nikiwa kikazi kufanya review ya economic performance yao. Baadae mzee wa juu kabisa kimadaraka akaongea kiufupi akaniambia anataka mtanzania angoze South Sudan Revenue Authority na kama kichwani mwangu na watu bora watatu wenye uzalendo wa kufia nchi kama Magufuli ni wapendekeze, anzie hapo, na kweli alimchukua Mtanzania kama Mkurugenzi mkuu na SSRA ya SouthvSudan inahitaji waTanzânia 9 zaidi.

Na nafasi hizo tisa (9) wa South Sudan wanataka waajiriwe watanzania tuu na wala siyo wananchi kutoka nchi yeyote ya Africa Mashariki ila wafanane na Magufuli na malipo ya kama dola 12000 kwa mwezi na stahiki zingine nyingi.

Na hata watanzania wanaoishi nje ya mitandao wana mkumbuka na kumtamani Magufuli. Hata shemeji zangu Wakurya: Magufuli ndio moja ya Marais waliopita wanao wakubali sana. Na bahati mbaya shemeji zangu mtuu wanawapenda Mashujaa, hawawapendi viongozi legelege hata awe wema.
 
Wanasikitisha sana, wapo very out of date...

Ni sawa wale ambao wanaodhani mpaka leo Nyerere bado ni Rais...
 
Hawajakwambia lolote kuhusu msaliti Lisu?
Lissu watamjua wapi huko Nakonde? Nakonde ni kama Nanjilinji tuu watajuaje mtu wa kiwango cha Lissu anayejadiliwa Aljazera, CNN na Reuters?
Acha masihara bibie!
 
Back
Top Bottom