Nipo Zambia, kila Mzambia ananiulizia habari za Rais Magufuli

Nipo Zambia, kila Mzambia ananiulizia habari za Rais Magufuli

Wao wanaamini waliibiwa votes, 2020 ni mwendawazimu tu ndo ulikuwa huwezi mpigia kura JPM, na tulipiga sababu tulitaka Rais "mnyooshaji".

wamekesha wakimtukana na mama akaingia mkenge akawafata wakati wao walikuwa wanajua wanachokifanya, wanajua JPM yuko na wapiga kura wengi na kudhihakiwa kwake bila serikali kuchukua hatua wapiga kura watapiga kura za hasira, sasa, mama kastuka, na asipowashughulikia hao walohusika na hiyo saga ilotubadirishia uongozi bila aibu tutaelewana mbele...WANAJULIKANA.
Nafarijika kusoma nondo za wasema ukweli siyo vizabinazabina. Utashangaa 2025 hao hao akina Tundu Lissu watajifungamanisha na JPM ili wachukue nchi kiulaini.

nchi hii huwa na maajabu. Nyerere aliijenga, mzee ruksa akaiharibu; Mkapa akaijenga, Kikwete akaiharibu; Magufuli akaijenga, inaonesha mama ataiharibu; ila baada ya mama kutakuja konki wa kuijenga tu
 
Hata Uganda , majority wanamuongelea JPM positively wanasema kama angekuwa kwao wangefaidi sana.
Walitoa pole sana kwa kifo chake, wanadai waTz wamehujumiwa.
 
NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo
Hata nyerere juzi nilikuwa boko mnemela bado wanamuulizia
 
Wewe ni kinda, usifananishe Idd Amini na JPM. JPM alikuwa mjenga nchi na idd Amini alikuwa ni laghai tu. Mfano mmoja ni jinsi alivyorejesha fedha kutoka kwa elite na kuzitumia kuendeleza infrastructure bila kuongeza kodi kwa walalahoi. Huwezi kuona sasa hadi mwaka upite ndipo tutakuwa tunaongea lugha moja nchi itakavyokuwa hohehae
Watu walifatwa sana majumbani kukamatwa kisa umemkosoa. Nyie wapambe mkiona comment ya kumkosoa mnatuhumu ni mabeberu wanamtumia mkosoaji - (hii ni mbinu iliyotumika kuficha maovu yake)

Deni la taifa limeongezeka maradufu kipindi chake lakini kila siku alidanganya kuwa ni fedha za ndani.

Pengine hata idi amini alikuwa afadhali.



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Watu walifatwa sana majumbani kukamatwa kisa umemkosoa. Nyie wapambe mkiona comment ya kumkosoa mnatuhumu ni mabeberu wanamtumia mkosoaji - (hii ni mbinu iliyotumika kuficha maovu yake)

Deni la taifa limeongezeka maradufu kipindi chake lakini kila siku alidanganya kuwa ni fedha za ndani.

Pengine hata idi amini alikuwa afadhali.



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kachome chanjo urelax naona msongo wa mawazo ya tozo ya muamala
 
SO🤷🤷??
NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo
 
NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo
So hawajui kama anaoza?
 
NIPO ZAMBIA,KILA MZAMBIA ANANIULIZIA HABARI ZA RAIS MAGUFULI.

Nipo Zambia now kununua Soyabeans,JPM anakubalika vibaya mno (kumbuka tenda ya kuuza Soyabeans alituombea JPM mwezi Wa 12 mwaka Jana kwa Waziri Wa mambo ya nje Wa China alipozuru Tanzania- ambapo China ilikubali kuijumuisha Tanzania kama muuzaji Wa Soya bean kwao na kwa Africa zimepewa tenda hiyo nchi tatu tu Tanzania, Ethiopia na Benin na kwa mwaka inatakiwa kuiuzia China tani milioni tatu hivyo sababu sisi hatulimi soya kwa sana JPM alituombea kwa Zambia na Malawi waturuhusu watz kufata soya huko,Pia JPM alituombea soko la kuiuzia Soya na Ufuta nchi ya India lakini sababu watanzania ni wazembe fursa hizo zimechangamkiwa na wakenya,wakenya ndo wamejaa huku).

..last week nilikosea mpaka-sheria ya Zambia mwisho kwa Watanzania kufanya biashara na shughuli zao pale Zambia ni SAA tatu usiku vinginevyo uwe na vibali,so sikujua makazi tumeweka Tunduma boda majuzi nikatoka kwenda kutembea nikakamatwa nilipofikishwa kituo kidogo cha police pale nakonde nikahojiwa kisha nikapelekwa kituo kikubwa Nakonde Police Central ni kama Oysterbay police au central police watuhumiwa walikuwa wengi mno waethiopia,wasomali,wanyarwanda na wengine cha kushangaza Police walipokuwa wanachukua Maelezo yangu wakagundua kuwa kuwa Mimi ni MTz wenyewe wanatuita "waswahili"(waliniachia baada ya kunipa kosa la Shishita nasio migration case)

Wakaanza kuniuliza habari za JPM huku wakimponda President wao Mr Edgar Lungu wenyewe wanamfananisha JPM na marais wao wazamani Marehemu Sata na Mwanawasa wengine Kaunda,rupia banda,chiluba wanadai walikuwa wezi na walijenga kwenye nchi zao "kumbuka Zambia inadaiwa haijawahi kuongozwa na mzawa"wazambia hata ukikakaaa nao mitaani wakigundua wewe ni mtanzania story zao ni kumsifia JPM hata boda ya Tunduma upande Wa Tanzania na Zambia aliijenga kisasa yeye na mpaka lami akaweka Hadi Zambia ila lungu akashindwa kumalizia, wenzetu Hadi mahabusu,saloon,machinga,mamalishe wanafatilia siasa huwaambii kitu kuhusu JPM na hii nimeikuta pia Malawi pia kwenye Soya kuanzia Kasumulo boda Hadi Malawi.

Wamalawi wanamkubali rais wao mmoja tu Marehemu Bingu Wa Mutharika wao wanaamini aliuawa kwa sumu na wazambia pia wanaamini Dr.Levy Mwanawasa na Michael Sata waliuawa kutokana na misimamo yao.

JPM ni gumzo kwa wenzetu kuanzia Nakonde Region, Kitwe, Ndola, Kapimposhi, Mkushi, mpaka Lusaka JPM ni gumzo
Unasema: anakubalika vibaya mno!
Wewe unaona kukubalika vibaya mno! Ndio sifa ya kupendwa?
 
Jiwe lilipumuzika baada ya kusaga.
La kwa Mungu tulitoka tutarudi Tena huko.
 
walikuwa na miguu miwili.. but hawakuteulwia kwa miguu.. Mungu aliwaweka special.. but not Magufuli.

kama angekuwa immortal angekuwa hai, probably angekuwa na direct line na Mungu.. but nooooo all that didnt happen.
why?

because he is not ,stop overrating dead man... he is not coming back
That’s according to your points of view, but all in all, whom you define as chosen ones are also no longer existing in this world, when I speak of immortality, initially I don’t mean physically but Ideological kind of immortality. Just imagine mpaka leo watu wanamzungumzia Nyerere, Karume, Makavelli and now Magufuli conjoined with the legends.

Not everything in this world is religious oriented, imani ndio chanzo cha yote, mi naamini Magu ni immortal. Mind your faith.
 
Hakuna uzuri wowote sanasana inaonekana hiyo jamii ni ya watu duni sana ambao hawana hata access ya mawasiliano kujua dunia inaendaje kitu ambacho sio kizuri.
Yaani mtu kafa halafu watu hawana taarifa wanaendelea kumuongelea as if hajafa.
Kwenye kabila letu ikitokea mtu amekufa halafu mtu akamuulizia kwa sababu kwa bahati mbaya alikuwa hafahamu Kama alishakufa inaonekana Kama ni uchuro flani hivi

waislam mpaka leo wanauliza kama Yesu alikufa akafufuka we unaongea nn dogo
 
Back
Top Bottom