Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
- Thread starter
-
- #41
Kazi kubwa ni kupata huyo demu au nijipendekeze tena kwa X wangu sina options yaniHiyo ni stage tu utaivuka. Ila kuna kuivuka salama au kuivuka ukiwa na alama. Kwanza acha kabisa kuangalia porn, then uache nyeto. Baada ya hapo tafuta dem ufanye juu chini upige na ujitahidi kudumu nae kwenye mahusiano.
Kutokana na ukomavu wa tabia yako, unaweza ukajikuta haufeel raha ya kufanya kua na mwanamke na kufanya mapenzi ila huo utakua mwanzo tu, jitahidi kuishi hivyo na maisha yako yatarejea
harfizally penseli umesikia ujumbe wako? 🤣🤣Mkuu mi situmii ya wazee au wanaume bora nibaki hivihivi
harfizallyNalijua vizuri km lenyewe linapenda attention
Tia neno mkuuVijana wa 2000 nawaonea huruma sana
Amini usiamini sio mimi huyo ila up to you siku nyingine akija mtu mwenye shida kama hii mtasema ni mimiNalijua vizuri km lenyewe linapenda attention
🤣🤣🤣 umesahau django, mdakuzi na shadrackAmri
Ongezea nyama kidogo nini kilikukuta, na unawezaje kuwa single na vilevile kutopiga nyetokama ni experience kuhusu nyeto ninayo huwezi sema etii unapiga halafu uoni raha yake kuwa makini sana ....kijana mwenzangu ni heri ubaki single kuliko kupiga nyeto.....nakuonea sana huruma
focus kwenye mambo yako ya msingi ...jiweke busy mademu mali safi hupenda mtu yuko busy watakuja wenyewe lakini tu akiona kwamba upo busy na una hela ......hahahahOngezea nyama kidogo nini kilikukuta, na unawezaje kuwa single na vilevile kutopiga nyeto
Ushauri wa mkuu juu apo ukiongeza + Sala kwa imani yako na kazi uwe bize kijana.Hiyo ni stage tu utaivuka. Ila kuna kuivuka salama au kuivuka ukiwa na alama. Kwanza acha kabisa kuangalia porn, then uache nyeto. Baada ya hapo tafuta dem ufanye juu chini upige na ujitahidi kudumu nae kwenye mahusiano.
Kutokana na ukomavu wa tabia yako, unaweza ukajikuta haufeel raha ya kufanya kua na mwanamke na kufanya mapenzi ila huo utakua mwanzo tu, jitahidi kuishi hivyo na maisha yako yatarejea
Hapo kwenye pesa hahhafocus kwenye mambo yako ya msingi ...jiweke busy mademu mali safi hupenda mtu yuko busy watakuja wenyewe lakini tu akiona kwamba upo busy na una hela ......hahahah
Nimekuelewa kiongoziUshauri wa mkuu juu apo ukiongeza + Sala kwa imani yako na kazi uwe bize kijana.
joined 2012 huyo dogo alikuwa ananyonyamdakuzi
Kiuhalisia nilitegemea mawazo chanya na thousand ways za kunirudisha kwenye line ila nimegundua jambo bora ufe na jambo lako moyoni kuliko kulipeleka kwa watuTangazo la biashara, wazee wa kazi wahini sokoni
Weka maneno zaidi mkuuhakuna mtu atakuja kukushika mkono akuambie ni hivi au vile ,choma hicho kichaka.
Mkuu wewe ni last born?? Au ni mtoto wa kiume pekee katika familia?? Au ni mtoto wa kiume ulielelewa na mama pekee??Kiuhalisia nilitegemea mawazo chanya na thousand ways za kunirudisha kwenye line ila nimegundua jambo bora ufe na jambo lako moyoni kuliko kulipeleka kwa watu
Hebu fikiri jambo kama hili ni rahisi kuongea na rafiki, mzazi au ndugu
Ila kwa kua sijulikani nililileta hapa lakini still nimejua nini kitanipata hata kama nikienda kumwambia mchungaji wangu 😮💨
Mimi ni last born ndioMkuu wewe ni last born?? Au ni mtoto wa kiume pekee katika familia?? Au ni mtoto wa kiume ulielelewa na mama pekee??
Lipi sahihi hapa?