Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Aswaaaah. Mi sahivi nikirudia sichomoki.Kawa kijeba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aswaaaah. Mi sahivi nikirudia sichomoki.Kawa kijeba!
Atakuwa na mke!Umeoa
Mi ningejuaje na unajua nakaa jirani na barabara ningejua ni walevi tu nje. Si ungepiga simuNimepiga honi mara kibao nikaona kimya🤷♀️🤷♀️
Kwakweli tumtakie tu safari njema..maana ndani ya miaka 13 nadhani kashaona na kashajua dunia jinsi inavyoenda sikuiziKweli kila la kheri!
Ninafanya ujasiriamali kaka ila natamani ku reset angalau niwe na C3-5 Si lazima nipate Kazi ya GvtKuanzia 2008 mpka leo haujajua chakufanya😔
Kwa Sasa Nina 35 yrs Ninataka niboreshe matokeo Kwani pia Nina Diploma ya IT ila naona Sina Amani Rohoni.mkuu naomba Niku ulize swali, una taka urudie mtihani kwa sababu zipi?
👉Uboreshe matokeo tu.
👉Uji endeleze ki elimu
👉Au Umeona elimu ndo njia pekee ya wewe kutoboa??
👉Ila 2008 mhhh, Miaka 13 Ime pita, hau jafika 40 kweli🤔🤒
👉Mimi mwenzio sijawai enda shule, but still nakomaa na mtaa.
Hujakuta missed calls kweli 😳🤔🤔Mi ningejuaje na unajua nakaa jirani na barabara ningejua ni walevi tu nje. Si ungepiga simu
Asome hata certificate kwa Matokeo hayo,kijeba!Kwakweli tumtakie tu safari njema..maana ndani ya miaka 13 nadhani kashaona na kashajua dunia jinsi inavyoenda sikuizi
Kweli huyu kijeba.Lengo ni nini haswa? Kama ni kujiendeleza nenda kajiendleze kwa kuanzia ngazi ya certificate
Fursa ni nyingi za kujiendeleza unaweza kwenda kujiunga open University unaendelea na shughuli zako za utafutaji huku unasoma hadi unatimiza malengo
Anasema ana diploma ya ITAsome hata certificate kwa Matokeo hayo,kijeba!
QT ni elimu ya watu wazima🙄🙄🙄kuna elimu ya watu wazima QT(qaulifying test)
Dah una shangaza na kuchekesha Sana, una diploma ya it ila still una ogopa??Ninafanya ujasiriamali kaka ila natamani ku reset angalau niwe na C3-5 Si lazima nipate Kazi ya Gvt
Kwa Sasa Nina 35 yrs Ninataka niboreshe matokeo Kwani pia Nina Diploma ya IT ila naona Sina Amani Rohoni.
Achukue degree yoyoyteAnasema ana diploma ya IT
Mzee shikamoo, hebu muelekeze huyu dogo wa kijiji Cha jirani yenu😁🤒Kuna mambo mengine hua sitaki kushauri kabisa
Anasema hana amani moyoniAchukue degree yoyoyte
Mkuu pole sanaaa sanaaa....ila Kwa Sasa jikite kwenye kutafuta PESA NDIO kiwe kipa ombele hayo mengine achana nayo......Habari yako mwana JF,
Kwa Imani yangu Kubwa kwenu Bila kujali Naomba utaratibu wa kuweza kurudia Masomo Yangu ya kidato Cha nne. Mimi nilihitimu Mwaka 2008 na matokeo Yangu hayakuwa mazuri kwani nilipata Dv IV ya point 28 na hii ilitokea Baada ya kufiwa na Baba yangu mzazi Wiki Moja kabla ya Necta Kwa Muda mrefu Sasa natamani kurudia paper Tafadhali Naomba Mnisaidie Kama naweza ku reseat ili nifanye hivyo.na kama Haifai Kwa mapenzi Mema nishauri nifanye nini. Naomba kuwasilisha.
Nina fanya ujasiriamali kaka pia nilisoma DIPLOMA YA IT sema nataka kuboresha matokeo tuu wala Sina Kiherehere Cha Ajira kama wanavyowaza watu Wengi hapa.Mleta mada umeambiwa mbinguni huingii hadi ule na credit pass za form 4???
Mbona kuna mambo mengi ya kufanya miaka zaidi ya 13 tangu umalize shule hakuna mishe uliyoiona nje ya kuresit?
35 December nitagonga 36yrs mkuuYaani toka 2008, haha Fika 40-59 kweli??