MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Unarudia lengo lako nini kwnza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tayari na diploma ya IT,Asome hata certificate kwa Matokeo hayo,kijeba!
FURAHA YAKE ANGALAU CHETI KIWE NA MAKALAI KADHAASasa una diploma ya IT unataka kitu Gani tena mbona unazingua mkuu? Sasa ukisha resit ukapata C 3 ama 5 tofauti itakua kitu Gani?
KITU AMBACHO INABIDI MUELEWE KWA MATOKEO YAKE HAWEZI KUENDELEA BACHELOR LICHA YA KWAMBA ANA DIPLOMALakini Kama wadau walivyosema hapo juu ni Bora ungeipambinia kuiboresha hiyo Diploma if ur not employed but if ur employed unaweza rudia mtihani ili uje usome degree kupitia six so kuwa makini Sana na maamuzi yako
PC ni Private Candidate means upo out of SC School Candidatekwahiyo sasa hiyo 'QT and resitters' na ile 'PC' hua zinamaanisha nini
uboreshe ili iweje ukifanya chini ya masomo saba vyeti haviungwi na hata ukiwa na C nne cheti kitaandikwa division 4 utakua na vyeti viwili,Ninafanya ujasiriamali kaka ila natamani ku reset angalau niwe na C3-5 Si lazima nipate Kazi ya Gvt
Kwa Sasa Nina 35 yrs Ninataka niboreshe matokeo Kwani pia Nina Diploma ya IT ila naona Sina Amani Rohoni.
yaan div four ya 28 ukose pass masomo manne ya kwenda degree haingii akilini iyo, alisoma diploma labda chuo cha uchochoroni sheria ukiruhisiwa kusoma certificate ukiwa na pass nne unaenda diploma mpaka degree iyo diploma alisomajeKITU AMBACHO INABIDI MUELEWE KWA MATOKEO YAKE HAWEZI KUENDELEA BACHELOR LICHA YA KWAMBA ANA DIPLOMA
Ndio inabidi uwe unanipa shikamoo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We kweli sister mkubwa, mi Hata age ya huko sijafika[emoji16][emoji23]
Nenda veta kajifunze ufundi, cheti cha F IV unacho tayari na umri umeenda.Habari yako mwana JF,
Kwa Imani yangu Kubwa kwenu Bila kujali Naomba utaratibu wa kuweza kurudia Masomo Yangu ya kidato Cha nne. Mimi nilihitimu Mwaka 2008 na matokeo Yangu hayakuwa mazuri kwani nilipata Dv IV ya point 28 na hii ilitokea Baada ya kufiwa na Baba yangu mzazi Wiki Moja kabla ya Necta Kwa Muda mrefu Sasa natamani kurudia paper Tafadhali Naomba Mnisaidie Kama naweza ku reseat ili nifanye hivyo.na kama Haifai Kwa mapenzi Mema nishauri nifanye nini. Naomba kuwasilisha.
Mpaka umlete railat🤗😂🤣😂Ndio inabidi uwe unanipa shikamoo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]