mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
sijui halafu uskute nimeandika pumba😂QT ni elimu ya watu wazima🙄🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui halafu uskute nimeandika pumba😂QT ni elimu ya watu wazima🙄🙄🙄
Tumekusamehe kwakua ni weekend 🤣🤣🤣sijui halafu uskute nimeandika pumba😂
Kaka Ongea Tafadhali Sana labda utanisaidiaNiongee au nikae kimya?
Jamani mbona 2008 sio zamani sana, nilimaliza form 4 2009 sasa hivi nipo 30 so huyu sidhani kama amefika hata 35.Yaani toka 2008, haha Fika 40-59 kweli??
Classmate hapo ikifika January - March 2024 tafuta kituo kilicho karibu na wewe ujiandikishe kufanya mtihani mwezi November 2024.Nina fanya ujasiriamali kaka pia nilisoma DIPLOMA YA IT sema nataka kuboresha matokeo tuu wala Sina Kiherehere Cha Ajira kama wanavyowaza watu Wengi hapa.
35 December nitagonga 36yrs mkuu
Nataka nitupe kile cheti Cha awali mkuu unajua St. Kayumba za 2000 zilikuwa Hovyo Sana, hv Sasa naweza Kusoma Bila kwenda Shuleni na nikapasua KwbisaaSasa una diploma ya IT unataka kitu Gani tena mbona unazingua mkuu? Sasa ukisha resit ukapata C 3 ama 5 tofauti itakua kitu Gani?
Sasa Nina 35 mkuuu pia Nina family ya Mke na Mtoto mmoja Hali Kutoka Kwa Mungu pia amekubali nisome🙄Jamani mbona 2008 sio zamani sana, nilimaliza form 4 2009 sasa hivi nipo 30 so huyu sidhani kama amefika hata 35.
Lengo lako ni nini hasa, maana sidhani kutupa cheti Cha awali kunaweza kuwa lengo lako! Yani baada ya kupata hizo C 5 Unategemea kuzifanyia nini? Maana kama kujiendeleza kwa hapo ulipofikia(dip it) unaweza?Nataka nitupe kile cheti Cha awali mkuu unajua St. Kayumba za 2000 zilikuwa Hovyo Sana, hv Sasa naweza Kusoma Bila kwenda Shuleni na nikapasua Kwbisaa
kwahiyo sasa hiyo 'QT and resitters' na ile 'PC' hua zinamaanisha niniTumekusamehe kwakua ni weekend 🤣🤣🤣
Hongera Sana Shujaa najua watu wa 2008 wengi wapo kwenye mfumo Mungu akubariki Nitafanya hivyo Bila KusitaClassmate hapo ikifika January - March 2024 tafuta kituo kilicho karibu na wewe ujiandikishe kufanya mtihani mwezi November 2024.
Kila la heri classmate na pole pia kwa mapito, binafsi nilipata daraja la kwanza mwaka huo.
Kama wewe binafsi unatamani kurudia fanya kile kinachokupendeza ingawa kiuhalisia kwa umri wetu 30+ jumlisha stress za maisha, kazi na familia itakuwa mzigo mkubwa kwako. Unaweza kuta unarudia ila mambo yanakuwa kama zamaniSasa Nina 35 mkuuu pia Nina family ya Mke na Mtoto mmoja Hali Kutoka Kwa Mungu pia amekubali nisome[emoji849]
Amina ndugu yangu, kila la heri pia katika mchakato huo.Hongera Sana Shujaa najua watu wa 2008 wengi wapo kwenye mfumo Mungu akubariki Nitafanya hivyo Bila Kusita
Hata Mwl Mtei alichangia Sana Mimi kufeli Pale St kayumba manake aliniambia nisome art's Mapema Pale form III nisingepata hii Dv Mungu anamuona pia alituonea Sana kwenye Somo la ChemistryKama wewe binafsi unatamani kurudia fanya kile kinachokupendeza ingawa kiuhalisia kwa umri wetu 30+ jumlisha stress za maisha, kazi na familia itakuwa mzigo mkubwa kwako. Unaweza kuta unarudia ila mambo yanakuwa kama zamani
Pole, sahau ya nyuma anza ukurasa mpya katika mchakato wa kuiendea ndoto yako.Hata Mwl Mtei alichangia Sana Mimi kufeli Pale St kayumba manake aliniambia nisome art's Mapema Pale form III nisingepata hii Dv Mungu anamuona pia alituonea Sana kwenye Somo la Chemistry
Hivi Kwa credit ulizo naxo huwezi kwenda kusoma Chuo , course za Diploma, then uje ufanye degree.Habari yako mwana JF,
Kwa Imani yangu Kubwa kwenu Bila kujali Naomba utaratibu wa kuweza kurudia Masomo Yangu ya kidato Cha nne. Mimi nilihitimu Mwaka 2008 na matokeo Yangu hayakuwa mazuri kwani nilipata Dv IV ya point 28 na hii ilitokea Baada ya kufiwa na Baba yangu mzazi Wiki Moja kabla ya Necta Kwa Muda mrefu Sasa natamani kurudia paper Tafadhali Naomba Mnisaidie Kama naweza ku reseat ili nifanye hivyo.na kama Haifai Kwa mapenzi Mema nishauri nifanye nini. Naomba kuwasilisha.
We kweli sister mkubwa, mi Hata age ya huko sijafika😁😂Jamani mbona 2008 sio zamani sana, nilimaliza form 4 2009 sasa hivi nipo 30 so huyu sidhani kama amefika hata 35.
Amina Sana Father/BrotherMkuu age is nothing but a number Kama unahitaji kurudia usiogope kurudia maana in this life kila mtu anahitaji Jambo lake analoliona Lina matokeo chanya in this what we call life