Peal, pole sana na mshahara mdogo najua utakuwa kwenye take home ya six digits, nakushauri ufuge kuku wa mayai - pesa uliyonayo inatosha sana kwa kuanzia
hakuna biashara yeyote utafanya zaidi ya hiyo niliyokuambia - inalipa sana na after 5 years utakuwa mbali sana.
kwa hiyo 5m uliyonayo unaweza kuanza na kuku 500 then as you go on utaongeza
biashara ziko nyingi ila kuna moja ninataka nikushauri ila inahitaji tuwasiliane au ikiwezekana tuonane ana kwa ana, hapa hakuna utani ni serious, ukiweza nicheki kwa 0762 223 662, kwa kuanza utatakiwa uanze na m2 tatu unaweka pembeni
karibu
My dia,zamani nilikuwa nafuga mwenyewe but nowdays naona gharama zinakuwa kubwa pia mm niko kazini vijana wanasumbua wat i do nowdays,nachukua oder kwa wiki jmosi nasafiri vijijini kwenda kuchukua mzigo ,jpili nachinja na kupaki kwenye mifuko,jtatu nawapelekea wateja kabla ya kuja kazini
Andika hiyo biashara yako ili hata wana JF wengine wakiipenda wakutafute, si pearl pele yake watu kibao wana shida hizo.
Hapo kazi kuna kitu kinafanyika kweli au project planning ya next week? Kama unamudu hayo yote na kazi za boss zinakwenda basi wewe ni kichwa. Unatakiwa kutupa ushauri (wengi wetu) wa jinsi ya kuwa mjasiriamali badala sisi kukushauri.
siwezi kufanya hivyo as long as Mungu kanipa Miguu na Mikono nitafanya kazi tu kwa njia halali,ukiskia wateja wa hivyo niuzavyo plz niambie kuku wa kienjeji wkubwa sana tu ninao wengi
Biashara nyingine nzuri kwa huo mtaji wako na kununua nyanya mikoani (km Arusha, Tanga Iringa etc) na kisha kuja kuziuza kwa bei ya jumla katika masoko ya hapa Dar.
Ninachoweza kukushauri, kwa mtaji wa Million 5 ni bora uka-invest kwa kununua hisa pale dar stock exchange.
Mi niko ktk biashara kwa zaidi ya miaka 20. 5ml ni nyingi sana pia ni kidogo sana ktk kuanzisha biashara.Hivyo basi MOSI KUWA MAKINI ZAIDI UNAPOFIKIRIA KUHUSU AINA YA BIASHARA, angaria vema khs soko, upatikanaji wa bidhaa au huduma.Muda unaotumia.Risk zilizo katka biashara ni nyingi kuliko faida hivyo kuwa makini sana.
Ila na shauri pindi utakapo amua biashara yakufanya please usitumie mtaji wako wote bali unaweza kuanzia na 2.5ml au 3ml then unaangalia maendeleo yake .Elewa kuwa mazingira ya biashara ni ya ushindani mkubwa sn, pia kuna tatizo la UAMINIFU hasa kwa Wafanyakazi nk.
Nimekupatia dondoo kidogo tu ila elewa kuwa kila Biashara inalipa tu inategemea na jinsi ulivyo jipanga, lakini vema ukaanza kidogo kidogo Usipende kuangalia Faida kubwa tu, KM UNAFIKIRIA FAIDA FIKIRIA KUHUSU HASARA PIA.LAKINI USIOGOPE KUFANYA MAAMUZI. LAKINI YAKUPASA KUFIKIRIA VEMA.maana kupoteza 5ml ni Rahisi sana LAKINI KUITAFUTA NI VIGUMU SANA.
Mkuu ungemwambia share za kampuni fulani ambayo unajua inafanya vizuri ingekuwa poa, je akinunua hisa za Tol au Nicol itakuwaje?
Check this out,buying and selling dollars,public transport(hiace), or even a bajaji,with that money you can have two reconditioned bajaji from which you can make a small fortune for yourself if you manage its revenues well ofcourse.Will check some more and keep you posted
"Always resources are scarce,learn how to use effectively and efficiently what you have regardless of its size or amount"