Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 319
- Thread starter
- #161
tatizo ni mda dia
Peal, pole sana na mshahara mdogo najua utakuwa kwenye take home ya six digits, nakushauri ufuge kuku wa mayai - pesa uliyonayo inatosha sana kwa kuanzia
hakuna biashara yeyote utafanya zaidi ya hiyo niliyokuambia - inalipa sana na after 5 years utakuwa mbali sana.
kwa hiyo 5m uliyonayo unaweza kuanza na kuku 500 then as you go on utaongeza