min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mwalimu au nakosea?🤣🤣Khaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu au nakosea?🤣🤣Khaaa
Umesema wewe ni binti wa kike?Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
🤣🤣🤣 Niliacha ualimu,nasomea usister🥴Mwalimu au nakosea?
NdioUmesema wewe ni binti wa kike?
Kama huwezi kutoa ushauri acha🫡Sasa unadumbua jukwaa kwanini?!
Hii kweli😅kabisaUkimkubalia utalia....atafidia mateso yote uliyompitisha
😅AiseeeWewe ni binti wa kike kivipi ?rafiki yangu😊😊😊😊
😅😅Nilipoona binti wa kike ushauri hauwez fanyiwa kazi
kuna mwenzio aliacha usister akawa anataka kuolewa😄🤣🤣🤣 Niliacha ualimu,nasomea usister🥴
Hahah sasa naletaje posa na kwenu sipajui?Leta posa😅ndo niamini hunitapeli
Utaogopa mpaka lini..?🤣🤣🤣 Ogopa sana
Utaogopa mpaka lini..?🤣🤣🤣 Ogopa sana
🤣🤣🤣Full vise versa 🥴kuna mwenzio aliacha usister akawa anataka kuolewa😄
kuna uzi niliona humu ndani uliletwa na jamaa flan hivi
🥴Utaogopa mpaka lini..?
Kunjua sura😄🤣🤣🤣Full vise versa 🥴
Tafrani....duhMambo magumu Red, vise versa Kila pahala...unaemwitaji hakuhitaji anaekuhitaji humwitaji🤦🥴