Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Ndiyo maisha,usijali 😊Tafrani....duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maisha,usijali 😊Tafrani....duh
afadhali umekunjua sura... sasa kaza roho😄Ndiyo maisha,usijali 😊
Nakutumia locationHahah sasa naletaje posa na kwenu sipajui?
🤣🤣Sawa nimekuelewa sana👊afadhali umekunjua sura... sasa kaza roho😄
🤝🤣🤣Sawa nimekuelewa sana👊
Wanawake mna mbingu yenu kivyenu, imagine kumwacha kisa tu alikuficha kuwa anamtoto, wewe ulim expose vyote, Mahusiano ni kumegeana taratibu mpaka mfike😂, ulijuaje kuwa ana mtoto kana alikuficha , hapa utaanza kusema ulikuja kuambiwa na wengine au kuona mwenyewe, je ulijuaje kama jamaa hatakuja kukujulisha juu ya hilo, Jibu quiz zanguHabari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Rafiki yake aliniambia maana na yy alikuwa ananitaka😅kipindi icho...hatukufikia hatua ya Mimi ku.expose Kila kituWanawake mna mbingu yenu kivyenu, imagine kumwacha kisa tu alikuficha kuwa anamtoto, wewe ulim expose vyote, Mahusiano ni kumegeana taratibu mpaka mfike😂, ulijuaje kuwa ana mtoto kana alikuficha , hapa utaanza kusema ulikuja kuambiwa na wengine au kuona mwenyewe, je ulijuaje kama jamaa hatakuja kukujulisha juu ya hilo, Jibu quiz zangu
Mwanamke ndio alimuachia mtoto na kuenda ndivyo anadaiKama alivyomwacha yule mwenye mtoto ndivyo atakavyokuacha na wewe baada ya kukuzalisha!
Kama ni Muislam na wewe ni Mkristo nakushauri kaa mbali naye.
😅Mpe ale
He's stable na mpole adi ananikera hayupo romantic Sasa tatizoZingatia haya. Angalia hali yake na lifestyle kiujumla. Hasijekuwa hana option nyingine tofaufi na wewe. Kama uwezekano wa kupata wanawake wengine upo na uchumi wake unaeleweka (kuishi na mke) hapo sawa.
Lazima uingie mtegoni tuHabari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
😅Lazima uingie mtegoni tu
Tuma namba kwanza bibieNakutumia location
Leta yako ntakutafutaTuma namba kwanza bibie
Kama aliwahi kukula inawezekana kachizika na papuchi yako, kama hajawahi kukula basi akila papuchi tu huyo anakimbia.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Ole wako sasaLeta yako ntakutafuta