Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Shida ya Nchi yetu ni kwamba hawataki kwenda na wakati.Kuna watu ofisi zao ni instagram,kazi wanafanyia geto mbagala,picha wanachukia ali express malipo kwa lipa namba...Sasa mtu kama huyo unamdaia sijui mkataba wa panho ili nn?
Mwambie tu akupe anuani yake,mtaa,barabara,nyumba namba namba ya simu na email.Mengine mta deal naye taratibu tu bila shida.Hata hiyo Tax clearance hawahitaji wanachatajuwa kufanya ni ku interlink mifumo,ma wa TRA kuona kama kodi imelipwa kikamilifu,Maana kwa TRA kupewa clearance nako kama uhalifu mwingine tu...
Mwambie tu akupe anuani yake,mtaa,barabara,nyumba namba namba ya simu na email.Mengine mta deal naye taratibu tu bila shida.Hata hiyo Tax clearance hawahitaji wanachatajuwa kufanya ni ku interlink mifumo,ma wa TRA kuona kama kodi imelipwa kikamilifu,Maana kwa TRA kupewa clearance nako kama uhalifu mwingine tu...