Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
akaunti wanakufungulia wakina nani?Kama ni leseni ya kampuni uwe hivi
Tax clearance
Memorandum
Tin
Mkataba wa pango
Kitambulisho au namba ya nida
Barua ya utambulisho wa kampuni
Wakishakufungulia akaunti unaweza kupata leseni bila tatizo
I mean kama unataka leseni ya kampuni ni lazima uwe na barua ya utambulisho wa kampuni? na hiyo barua unaipeleka wapi?