Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

father-xmas

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2010
Posts
971
Reaction score
1,117
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.

Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenzi nae. Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.

Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana, ni kumlilia tu huyo jamaa. Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.

Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu. Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
 
Achana na kitu hisia za mapenzi...

Mwenyewe zilinitesa sana...

Yule mwamba popote alipo Nampa maua yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kifupi huyo dada huwezi kumsaidia ni mpaka aamue mwenyewe kumpotezea huyo jamaa...

Usije ukamlazimisha kuingia nae kwa mahusiano, maana utajutraaa.

Ndio ninachoona unakitafuta hapo.
 
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada,aliteseka,alikonda ila baada ya muda akakaa sawa,akanenepa,akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla
na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenz nae.Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana,ni kumlilia tu huyo jamaa.Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu.Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Ya hivo ndo yanajinyongaga achana nalo usijepata kesi bure
 
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada,aliteseka,alikonda ila baada ya muda akakaa sawa,akanenepa,akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla
na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenz nae.Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana,ni kumlilia tu huyo jamaa.Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu.Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Huyo mwanamke ata akiambiwa na huyo bwana ake ampe nyuma atampa na ataliwa mku.... then ataachwa na Bado ataendelea kumlilia Tena akili matope
 
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada,aliteseka,alikonda ila baada ya muda akakaa sawa,akanenepa,akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla
na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenz nae.Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana,ni kumlilia tu huyo jamaa.Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu.Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Mkuu usipoteze mda, mwanamke akikunwa vzr na mwaume akiri zake zote zinaenda huko
 
Achana na kitu hisia za mapenzi...

Mwenyewe zilinitesa sana...

Yule mwamba popote alipo Nampa maua yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kifupi huyo dada huwezi kumsaidia ni mpaka aamue mwenyewe kumpotezea huyo jamaa...

Usije ukamlazimisha kuingia nae kwa mahusiano, maana utajutraaa.

Ndio ninachoona unakitafuta hapo.
Nimeyapokea maua kumbe hujanisahau adi leo
 
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada,aliteseka,alikonda ila baada ya muda akakaa sawa,akanenepa,akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla
na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenz nae.Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana,ni kumlilia tu huyo jamaa.Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu.Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Hiyo inaitwa obsession na sio hisia za mapenzi, ni ugonjwa wa akili unamsumbua.
 
Back
Top Bottom