father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 971
- 1,117
- Thread starter
- #101
Atakusumbua huyuMlete kwangu Jidduuzz, nitamuweka sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakusumbua huyuMlete kwangu Jidduuzz, nitamuweka sawa!
Umeongea sahihi mkuu ila huyu kuwa nae ni risk sbb jamaa yake akimtaka anytime anampataMara nyingi ukimjulia mwanamke na ukamfikisha mbinguni na kurudi duniani, basi huyo anakufuata kama umemwekea sumaku, roho na moyo wake unakuwa umeshikilia, kuna makosa sana wanaume wanafanya hasa kutomfikisha mwanamke peponi, akifika na kurudi basi huyo wako wa milele amina..
Ila nikitazama kwa mbaliiii naona kama wewe kama unamtaka hivi, si ungechangamka haraka kumnasa roho na moyo wake, kama uko slow sana it looks
Tunamsubiri aje aseme neno labda dada atapata kuponaKwani Equation x anasemaje kuhusu hili..?
😂😂😂
akili mingiAchana na kitu hisia za mapenzi...
Mwenyewe zilinitesa sana...
Yule mwamba popote alipo Nampa maua yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kifupi huyo dada huwezi kumsaidia ni mpaka aamue mwenyewe kumpotezea huyo jamaa...
Usije ukamlazimisha kuingia nae kwa mahusiano, maana utajutraaa.
Ndio ninachoona unakitafuta hapo.
Asante mkuuakili mingi
Hovyo kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Usipoteze muda kwa wapumbavuSalute wakuu
Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.
Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.
Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenzi nae. Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.
Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana, ni kumlilia tu huyo jamaa. Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.
Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.
Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu. Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
nitumie hii
ha ha haHovyo kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanakuja tu automaticnitumie hii
Hao wengine wanakua walijiegesha tu hawakupendaKabisa mkuu ila hili sio tatizo la kiafya kweli.?
Mbona wanawake wengine wakiachwa wanaumia wanapona wanasahau iweje huyu anashindwa?
I got you mzee🤣🤣🤣🤣Dickmatization of the coochie nation..
Elewa maana ya mapenzi ni upofu!!Salute wakuu
Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.
Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.
Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenzi nae. Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.
Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana, ni kumlilia tu huyo jamaa. Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.
Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.
Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu. Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Huwezi kumshauri mwanamke aliyependa......Salute wakuu
Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.
Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.
Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenzi nae. Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.
Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana, ni kumlilia tu huyo jamaa. Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.
Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.
Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu. Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.