Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

Eh mama
Achana na kitu hisia za mapenzi...

Mwenyewe zilinitesa sana...

Yule mwamba popote alipo Nampa maua yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kifupi huyo dada huwezi kumsaidia ni mpaka aamue mwenyewe kumpotezea huyo jamaa...

Usije ukamlazimisha kuingia nae kwa mahusiano, maana utajutraaa.

Ndio ninachoona unakitafuta hapo.
mchungajii😂
 
Jamaa anamkojoza na demu inawezekan tangu aanze safari Yake ya mapenz hajawahi kukujozwa zaidi ya jamaa kwahiyo mambo yake mwachie mwenyewe.
Kweli aisee ila anadai eti jamaa ni rare species😁
 
Mpushi afanye kile ambacho nafsi yake inataka ili akakome. Mwambie amrudie mshikaji tena msaidie mbinu za kumrudia ili jamaa akamnyooshe vizuri. Baada ya hapo sasa mnaweza kuelewana.
Tayari keshajirudisha huko mkuu
 
Hakuna mwanamke mwenye misimamo kama ni hvyo ange move on kwa huyo jamaa mwingine! Tupia ndoano mkuu ila usiambulie patupu!
Wanawake wenye msimamo wapo mkuu na huyu ni mmoja wapo ila ingependeza huu msimamo aweke sehemu anapothaminiwa
 
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.

Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenzi nae. Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.

Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana, ni kumlilia tu huyo jamaa. Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.

Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu. Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Mlete kwangu Jidduuzz, nitamuweka sawa!
 
Salute wakuu

Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.

Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.

Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenzi nae. Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.

Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana, ni kumlilia tu huyo jamaa. Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.

Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.

Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu. Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.


Mara nyingi ukimjulia mwanamke na ukamfikisha mbinguni na kurudi duniani, basi huyo anakufuata kama umemwekea sumaku, roho na moyo wake unakuwa umeshikilia, kuna makosa sana wanaume wanafanya hasa kutomfikisha mwanamke peponi, akifika na kurudi basi huyo wako wa milele amina..

Ila nikitazama kwa mbaliiii naona kama wewe kama unamtaka hivi, si ungechangamka haraka kumnasa roho na moyo wake, kama uko slow sana it looks
 
Mambo ya moyo ni kuombea tu busara ikuongoze.
Mpe muda na msikilize akija kutoa ya moyoni ipo siku atakaa sawa
 
Omba shoo, na umpige ya kibabe haswa; ukishindwa weka namba yake :AlizeePLS::CarltonPls:
 
Naamini siku jamaa akiomba nyuma ndo siku akili za dada zitafunguka,asingekubali na asingerudi tena kwa jamaa.Usiulize nimejuaje lakini mkuu
Kwani unazani huyo dada hajaliwa nyuma huyo? Huyo alishachimbuliwa kisamvu siku nyingi, lakini Bado tuu anamng'ang'ania jamaa, huyo dada ana matope kichwani, akili ndogo huyo hawezi mwacha huyo jamaa, mdada asha data na kuliwa mku.... Utamshauri nini Kwa mfano, mwisho wa siku dada wa watu anaweza jinyonga jamaa akimwacha Tena.
 
Back
Top Bottom