Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeyapokea maua kumbe hujanisahau adi leo
Focus na masuala yako mkuu, hao walipokutana hukuwepo, Leo hii uajitia mshauri mkuu, anyway umemshauri aachane na huyu bwana wake, wewe ndio utakuwa naye? Je wanapokuja kupatana tena aibu inakuwa kwa Nani?Salute wakuu
Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.
Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada,aliteseka,alikonda ila baada ya muda akakaa sawa,akanenepa,akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa anawekeza nguvu kujiboresha yeye na maisha yake kwa ujumla
na kweli kuna hatua kapiga kiuchumi na hata ukikaa nae alikua mtu wa kuongelea big dreams.
Yaani ni mwanamke fulani hivi ukipiga nae story unajifunza vitu ila cha kusikitisha juzi tena ananiambia karudiana na jamaa na anahisi jamaa hana mapenz nae.Namwambia kama unahisi jamaa hana mapenzi na wewe si umuache, anadai amejaribu ameshindwa hivyo anaomba mimi nimshauri afanyaje ili aweze kumuacha jamaa.
Kwa sasa ukikaa nae haongelei tena issue za maana,ni kumlilia tu huyo jamaa.Mind you ni mwanamke mwenye hela zake na ajabu kuna foreigner fulani alimpenda sana huyu dada ila dada kamtosa anadai hisia zake ziko huko alikoachwa.Kuna saa nahisi ana shida kichwani mana kwa maelezo yake ni wazi jamaa hamtaki na hata yeye anajua.
Binafsi sijui chakumshauri nisaidieni wakuu.Tena nahisi akipewa ushauri wa maneno makali labda nikimpa asome anaweza kuzinduka na kukukubaliana na reallity 2kuwa huyo jamaa is gone.
Nini kilikusaidia kumsahau huyo mwamba mkuu?Achana na kitu hisia za mapenzi...
Mwenyewe zilinitesa sana...
Yule mwamba popote alipo Nampa maua yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kifupi huyo dada huwezi kumsaidia ni mpaka aamue mwenyewe kumpotezea huyo jamaa...
Usije ukamlazimisha kuingia nae kwa mahusiano, maana utajutraaa.
Ndio ninachoona unakitafuta hapo.
Hatari sana mkuuDuuuh
Mapenzi hayashauriwi we achana nae.....
Yeah manDickmatization of the coochie nation..
oMbona kama vileee.....
Au basi.
Msumbufu huyousimsikilize tena Mkuu
Maombi ndugu yangu...Nini kilikusaidia kumsahau huyo mwamba mkuu?
Na kweli alivyoachwa nilijua kuna siku atajijua.Alivurugwa sana.Ajabu kavuka kajirudisha tenaYa hivo ndo yanajinyongaga achana nalo usijepata kesi bure
Ananikazia anamtunzia jamaa etiWe endelea kumega kisela usiweke kambi
Acha tu mkuuAloo