Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Mimi ni keWewe ni me au ke?
Umri wako je?
Hapo kuolewa nakuwa mke Kuna vitu sitavifanya nageuka kuwa wa ndani mileleInategemea kaolewa na mtu mwenye uelewawa na hilo jambo lako kwa kiasi gani🤔
Tulia Kwanza umri huo bado una mihemko mingi Sanaa..Mimi ni ke
Umri 23
Kwanini nisahauKama ni kuendelea kusoma, sahau.
Uwe wa ndani kivip?Hapo kuolewa nakuwa mke Kuna vitu sitavifanya nageuka kuwa wa ndani milele
Sio kweli, kila mtu anamalengo yake tofauti na kuoa au kuolewa , mwanaume mwenye busara husaidia mke wake kufikia malengo yake kama ambavyo mke mwenye busara anavyoweza kufanya tu🤔Lengo kuu kwa maisha ya mwanamke anaye jitambua ni kuolewa na kuwa na familia imara, hayo mengine ni ziada tu.
Avatar inakuonyesha kuwa wewe ni shetani!Habari zenu,
Naomba kuuliza swali:
Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto
Kwanini nisahau
Uwezekano wa Mwalimu kutembea na Mwanafunzi wake ni mkubwa sana ukilinganisha na watu wengine. Ndiyo maana wanaume wengi huwa hawataki kusikia suala la wake zao kuendelea kuongeza digirii.Kwanini nisahau
Ndyomaana nikasema wanawake wanao jitambua, hao wengine wenye ndoto za kuwa matajiri au kupata vitu fulani ndyo sababu ndoa nyingi hazidumu.Sio kweli, kila mtu anamalengo yake tofauti na kuoa au kuolewa , mwanaume mwenye busara husaidia mke wake kufikia malengo yake kama ambavyo mke mwenye busara anavyoweza kufanya tu🤔
Sidhani kama hapo Kuna tatizoAvatar inakuonyesha kuwa wewe ni shetani!
Kivipi sasaInategemea na Empathy ya mwanaume anayetaka kukuoa.
Sasa 40+ na 23 mbn hio hesabu haikai vzr......ndoto za kufanikisha ni nyingi ila muda ni mchacheTulia Kwanza umri huo bado una mihemko mingi Sanaa..
Labda Kama una bahati mtu wako ni 40+yrs anaweza kukucontrol Kama wewe hutakuwa msumbufu..lakini Kama ni kijana mwenzio tulia utapoteana
Kuhusu kutimiza ndoto labda Kama ndoto gani maana Afrika kutimiza ndoto ni mlolongo mrefu saana.