Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Uwezekano wa Mwalimu kutembea na Mwanafunzi wake ni mkubwa sana ukilinganisha na watu wengine. Ndiyo maana wanaume wengi huwa hawataki kusikia suala la wake zao kuendelea kuongeza digirii.

Mimi sijaoa ila huwa napiga stori na baadhi ya mabro. Majibu mengi ninayo yapata ni ya namna hiyo. Kwahiyo hata wewe ukiamua kuolewa una uwezekano mkubwa wa kukutana na mwanaume mwenye huo mtazamo.

Ndio ipo hivyo yani.
Kwanini siku zote tunafikiriaga mambo negative na sio positive...sioni kama kuna ubaya mwanamke akiongeza degreee
 
Na mim nikushauri.

Umri wako bado ni mdg sana. Ingawa ukibahatisha jamaa mwenye uelewa mkashikamana. Ukifikisha 30 utaoata picha ya kufeli au kutusua.

Onyo. Usikubali kuolewa na kijana mwenzio. Walau ukiwa na 23 yeye awe na 27+

Mkikaa na mumeo mnaweza kupanga malengo au vipaombele yako na vyake ili iwe kwa pamoja mtapata familia imara.

Familia imara ni ipi.?
  1. Uwezo kifedha na rasilimali mbalimbali
  2. Hofu ya Mungu wa mbinguni. Sio uchawi
  3. Mzee watoto wema na muwalee pamoja sio single mother. Ukipachikwa mimba ujue sahau familia imara.
  4. Mawasiliano mazuri pande mbalimbali ukeni na kiumeni na marafiki.
  5. Usichapwe nje na yeye asichape sana nje, akazaa huko. Akiwa na watoto nje suo stable tena. Hii unakuwa jamaa siku akianguka watoto watajitokeza na wake zake wa nje.
  6. Submission kuwa submissive kwa mumeo, ukileta ujuaji hakuna tena familia bora hapo
 
Kuolewa si kikwazo kwa mwanamke kufanikisha ndoto zake, bali inategemea aina ya mwenza alionaye, juhudi zake binafsi, na jinsi anavyosimamia majukumu ya ndoa na maisha yake.

Mwenza anayemuunga mkono, mawasiliano mazuri, na mipango thabiti vinaweza kumwezesha mwanamke kufanikisha ndoto zake hata akiwa mke na mama.
 
Habari zenu,

Naomba kuuliza swali:

Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto


“Kila mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke,” msemo huu unaonyesha umuhimu wa mshirika wa maisha katika safari ya mafanikio.

Hali hii pia inatumika kwa mwanamke, kwani nyuma ya mwanamke mwenye mafanikio mara nyingi kuna mume mwenye kuelewa, kumuunga mkono, na kumheshimu.

Ndoa siyo mwisho wa ndoto za mwanamke, bali ni nafasi ya kushirikiana na mwenza ambaye anaelewa thamani ya malengo yake.

Katika ushirikiano wa ndoa, mawasiliano mazuri, kuheshimiana, na kupanga maisha kwa umakini huweza kuleta mafanikio kwa pande zote mbili.

Mwanamke anayetamani kufanikisha ndoto zake anahitaji mume mwenye maono yanayofanana na yake, ambaye atakuwa mshirika wa kweli wa safari yake.

Mume anayejitahidi kumsaidia mkewe, kumtia moyo, na kushirikiana naye katika kugawanya majukumu ya familia na maisha binafsi, huchangia kwa kiasi kikubwa mafanikio yake.

Vivyo hivyo, mwanamke mwenye busara anaweza kuwa chanzo cha nguvu kwa mumewe kufanikisha malengo yake. Kwa hiyo, mafanikio bora katika ndoa hutokana na kushirikiana, kuheshimiana, na kuthamini ndoto za kila mmoja. Ndoa yenye msingi wa upendo na uelewa ni kama daraja la kupita kuelekea mafanikio ya kweli.
 
Kuolewa si kikwazo kwa mwanamke kufanikisha ndoto zake, bali inategemea aina ya mwenza alionaye, juhudi zake binafsi, na jinsi anavyosimamia majukumu ya ndoa na maisha yake.

Mwenza anayemuunga mkono, mawasiliano mazuri, na mipango thabiti vinaweza kumwezesha mwanamke kufanikisha ndoto zake hata akiwa mke na mama.
Mimi najua tu pale mwanamke anapoolewa na ndoto zake zinaisha maana hata huyo mwenza atamsupport kipindi Cha kwanza kwanza wakiozoeana basi imeisha hio
 
Habari zenu,

Naomba kuuliza swali:

Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto

Aisee kwa hili swali lako, kamwe usiolewe, utakuwa mwiba kwa atakayekuoa na mwiba kwako mwenyewe kwa huu mtazamo wako!

Mwanamke mwenye serious targets binafsi na asiingie kwenye ndoa kabisa, ndoa ni kujenga pamoja.
 
“Kila mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke,” msemo huu unaonyesha umuhimu wa mshirika wa maisha katika safari ya mafanikio.

Hali hii pia inatumika kwa mwanamke, kwani nyuma ya mwanamke mwenye mafanikio mara nyingi kuna mume mwenye kuelewa, kumuunga mkono, na kumheshimu.

Ndoa siyo mwisho wa ndoto za mwanamke, bali ni nafasi ya kushirikiana na mwenza ambaye anaelewa thamani ya malengo yake.

Katika ushirikiano wa ndoa, mawasiliano mazuri, kuheshimiana, na kupanga maisha kwa umakini huweza kuleta mafanikio kwa pande zote mbili.

Mwanamke anayetamani kufanikisha ndoto zake anahitaji mume mwenye maono yanayofanana na yake, ambaye atakuwa mshirika wa kweli wa safari yake.

Mume anayejitahidi kumsaidia mkewe, kumtia moyo, na kushirikiana naye katika kugawanya majukumu ya familia na maisha binafsi, huchangia kwa kiasi kikubwa mafanikio yake.

Vivyo hivyo, mwanamke mwenye busara anaweza kuwa chanzo cha nguvu kwa mumewe kufanikisha malengo yake. Kwa hiyo, mafanikio bora katika ndoa hutokana na kushirikiana, kuheshimiana, na kuthamini ndoto za kila mmoja. Ndoa yenye msingi wa upendo na uelewa ni kama daraja la kupita kuelekea mafanikio ya kweli.
Maneno hayo yanaonekana ni marahisi sana ila sasa ingia kwenye ndoa utaona kama ayo mawasiliano mazuri yatakuwepo ata kuungwa mkono kufanikisha ndoto haitakuepo
 
Aisee kwa hili swali lako, kamwe usiolewe, utakuwa mwiba kwa atakayekuoa na mwiba kwako mwenyewe kwa huu mtazamo wako!

Mwanamke mwenye serious targets binafsi na asiingie kwenye ndoa kabisa, ndoa ni kujenga pamoja.
Kumaniisha napaswa kusahau targets zangu binafsi Kisha tuangalie targets zetu kwa pamoja,.........huoni kama ntakuwa najikandamiza mwenyewe
 
Back
Top Bottom