Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Pambana na hali yako. Tunaposema wanawake nimashetwani hamtaki kuelewaKuna binti anaishi Msasanu, Uswahilini kule Makangira, huyu dada mwenye watoto 3 nilikutana naye mwaka 2019 siku chache kabla ya XMas.
Nilimfahamu miaka mingi nyuma tukisoma enzi hizo Kinondoni Muslim yeye alikuwa mbele yangu madarasa mawili, nilishawahi kumtokea lakini akanikataa enzi hizo alikuwa mzuri kichizi.
Baada ya kama miaka 15 ndipo nikakutana naye tena, nilikutana naye mitaa ya Masaki, nikiwa natoka Shopper's Plaza kupata mahitaji kwa ajili ya XMas yeye alikuwa ndio analipia vitu vyake na mimi niko kwenye que nyingine.
Basi tukasalimiana na kuchangamkiana, tukapeana na namba. Tukawa tunapiga story za mwisho za kuagania.
Basi, sikuwa na gari, nikamwambia niite Bolt ili inipeleke home. Akasema atanipeleka kama nitamruhusu.
Muda huo wife mtoto walikuwa Moshi wameenda kula sikukuu. Basi akanifikisha hadi home.
Sasa nikawa nimemkaribisha wine, na mimi nimejifungulia K Vant yangu. Nikatoa na sausages nikazichoma kwenye oven fasta tukawa tunakunywa huku tunapiga story.
Akaomba nimmiminie KVant kidogo kwenye wine yake, basi tukaendelea hivyo. Kuja kushtuka ni asubuhi ya alfajiri, tuko uchi, tumechapana sana dudu.
Yeye kakata moto kabisa, nikamfunika nikamkumbatia, kisha nikapitiwa na usingizi mzito.
To make a story short.
Mke wangu akahamishiwa Dodoma, akaenda na dogo, nikabaki mwenyewe. Nikaona nitafute studio apartment mitaa ya Regent Estate ambapo nitamfaidi huyu mwanamke badala ya awe anakuja kwangu.
Dada akaivuruga akili yangu kabisa, wote tukajikuta tunaishi pamoja kwenye studio apartment, mwiezi na miezi ikapita.
Mawasiliano na mke wangu yalikuwa yanaendelea vizuri lakini moyoni kanitoka kabisaaaaaa.
Kuna siku akarudi ghafla nyumbani, akakuta nyumba iko valuvalu na kijana tu. Akamuuliza baba yuko wapi, akasema hajarudi tangu juzi, hela anatuma kwa Mpesa.
Basi akanipigia kisha akaanza kunitukana matusi makubwa, nikamjibu tu, kwanzia sasa sirudi tena hapo. Na kweli sijawahi kurudi tangu 2020.
Sasa akili zimekaa sawa, niko na huyu dada wa Kimakonde na watoto wake watatu, nawasomesha, nawalisha na kuwavisha, wakati sijui mwanangu anaendeleaje.
Natamani niondoke nirudi nyumbani, lakini nashindwq, mke wangu alishabadilisha namba na hataki hata kunisikia.
Najaribu nipate mwanamke mwingine niachane na huyu Mmakonde, kila ninayempata mapenzi yetu hayadumu tunaishia kuachana tu.
Naombeni msaada wenu wakuu wangu.
Matusi, kashfa na kebehi rukhsa, najua katika hayo nitaambulia msaada
Haijawahi kutokea ndiyo sababu huaminiHii thread imekaa kikamba kamba miaka 4 bila kurudi ulipojenga
Ni kifupisho icho mkuuNilivyosoma tu first paragraph nimeishia hapo kwenye X MAS.
Hivyo niseme tu kuwa wewe ni mpumbavu.
Hakuna mtu mwenye akil timamu anaweza kuandika xmas
Mnhuu!☹️Pambana na hali yako. Tunaposema wanawake nimashetwani hamtaki kuelewa
Kumbe 😅 nakutembelea twende supermarket then turudii tujaribu na mimi nishikiliwe miaka minnehapana sijawahi...ndomana nimesema katuwakilisha😃😃
Maisha ya mahusiano na ndoa ni zaidi ya kukata mauno.Mzee pole sana! Lakini uno la kimakonde halinaga mifupa....
Sasa wewe unaonekana unapenda kuchakata sana kama mimi lakini tatizo lako ni kuwa alikukatia mauno ukamsahau wife wako....
Ushauri wangu ishi naye huyo mmakonde hivo hivo alafu mke kule nyumbani muhudumie ipasavyo maana nimegundua mke wako hana msaada katika mauno yaani ni mchagga na hajui kuyarudi mauno vilivyo, wewe usitafute mchawi, mchawi ni mauno mmakonde anajua kuyarudi.
Sasa balaa zito ni pale utapo step up na kucheki binti mwingine utakuwa umeisha maana utapata unachotafuta kwani hao watoto wa tatu shingapi na kule home gharamia wakwako afu ikiwezekana ongeza toto lingine hapo kwa mmakonde.
Nimesoma Kiingereza mpaka kidato cha sita na kukizingatiaNi kifupisho icho mkuu
🤣Acha tuHahahaha
SawaNimesoma Kiingereza mpaka kidato cha sita na kukizingatia
Hakuna kifupisho cha mtindo huu.
Hizi x zinatumiwa na wajingawajinga
Mkuu pole sana ila unaonekana maisha unayo sio mbayaKuna binti anaishi Msasanu, Uswahilini kule Makangira, huyu dada mwenye watoto 3 nilikutana naye mwaka 2019 siku chache kabla ya XMas.
Nilimfahamu miaka mingi nyuma tukisoma enzi hizo Kinondoni Muslim yeye alikuwa mbele yangu madarasa mawili, nilishawahi kumtokea lakini akanikataa enzi hizo alikuwa mzuri kichizi.
Baada ya kama miaka 15 ndipo nikakutana naye tena, nilikutana naye mitaa ya Masaki, nikiwa natoka Shopper's Plaza kupata mahitaji kwa ajili ya XMas yeye alikuwa ndio analipia vitu vyake na mimi niko kwenye que nyingine.
Basi tukasalimiana na kuchangamkiana, tukapeana na namba. Tukawa tunapiga story za mwisho za kuagania.
Basi, sikuwa na gari, nikamwambia niite Bolt ili inipeleke home. Akasema atanipeleka kama nitamruhusu.
Muda huo wife mtoto walikuwa Moshi wameenda kula sikukuu. Basi akanifikisha hadi home.
Sasa nikawa nimemkaribisha wine, na mimi nimejifungulia K Vant yangu. Nikatoa na sausages nikazichoma kwenye oven fasta tukawa tunakunywa huku tunapiga story.
Akaomba nimmiminie KVant kidogo kwenye wine yake, basi tukaendelea hivyo. Kuja kushtuka ni asubuhi ya alfajiri, tuko uchi, tumechapana sana dudu.
Yeye kakata moto kabisa, nikamfunika nikamkumbatia, kisha nikapitiwa na usingizi mzito.
To make a story short.
Mke wangu akahamishiwa Dodoma, akaenda na dogo, nikabaki mwenyewe. Nikaona nitafute studio apartment mitaa ya Regent Estate ambapo nitamfaidi huyu mwanamke badala ya awe anakuja kwangu.
Dada akaivuruga akili yangu kabisa, wote tukajikuta tunaishi pamoja kwenye studio apartment, mwiezi na miezi ikapita.
Mawasiliano na mke wangu yalikuwa yanaendelea vizuri lakini moyoni kanitoka kabisaaaaaa.
Kuna siku akarudi ghafla nyumbani, akakuta nyumba iko valuvalu na kijana tu. Akamuuliza baba yuko wapi, akasema hajarudi tangu juzi, hela anatuma kwa Mpesa.
Basi akanipigia kisha akaanza kunitukana matusi makubwa, nikamjibu tu, kwanzia sasa sirudi tena hapo. Na kweli sijawahi kurudi tangu 2020.
Sasa akili zimekaa sawa, niko na huyu dada wa Kimakonde na watoto wake watatu, nawasomesha, nawalisha na kuwavisha, wakati sijui mwanangu anaendeleaje.
Natamani niondoke nirudi nyumbani, lakini nashindwq, mke wangu alishabadilisha namba na hataki hata kunisikia.
Najaribu nipate mwanamke mwingine niachane na huyu Mmakonde, kila ninayempata mapenzi yetu hayadumu tunaishia kuachana tu.
Naombeni msaada wenu wakuu wangu.
Matusi, kashfa na kebehi rukhsa, najua katika hayo nitaambulia msaada
Si umuoe huyo aliyekupa limbwata urithi na watoto kabisaNakimbilia wapi sasa? Mwaka wa 4 sijaingia kwangu
Unakuaje Teja wa mapenzi kama ungekuwa umeruka stage sawaHayajakuta wewe
Kwahio unataka ushauriwe nn?Kama unakaz huwez kujiongeza ukapange hate chumba Cha 50,000 kipind unajiweka sawa.Nakimbilia wapi sasa? Mwaka wa 4 sijaingia kwangu
Kila nikisema naenda kupata madali najikuta nimerudi tena UmakondeniKwahio unataka ushauriwe nn?Kama unakaz huwez kujiongeza ukapange hate chumba Cha 50,000 kipind unajiweka sawa.
Nutajuaje kama nimeruka stage?Unakuaje Teja wa mapenzi kama ungekuwa umeruka stage sawa
Utachangia harusi?Si umuoe huyo aliyekupa limbwata urithi na watoto kabisa