Nisamehe Rais wangu Magufuli

Ukiskia magufuli anatajwa mkund unakuwasha au!?
Kama humpendi pita kishoto
 
Hayo yote unayoeleza watu wameyasikia tokea Magufuli akiwa hai ila bado watu wanamkumbuka Magufuli. Athari za mapungufu ya Samia ziko wazi na zinawagusa watu kiuhalisia kuliko mengi yaliyoelezwa kuhusu Magufuli.
Wewe pimbi hata ungekesha JF kumsafisha yule MUUAJI nakuhakikishia HASAFISHIKI.

Achana na Rais Samia, hata kama ana mapungufu Milioni 100, lakini nchi imetulia mikononi mwake. Hilo DHALIMU lenu manaloliabudu LILIKATALIWA na Mungu mwenyewe manamo 17/ 03/ 21.

Hata Familia yake chini ya Mama Janet imejisikia ahueni, ila mijinga humu bado imamuabudu
 
Mda na wakati utaamua
 
Ukiskia magufuli anatajwa mkund unakuwasha au!?
Kama humpendi pita kishoto
Nenda kwa basha wako kama unawashwa. Humu JF hakuna biashara ya ushoga.

Nyinyi wapumbavu mnaomuabudu Magufuli kama mungu wenu hatuwezi kuwaacha muandike masifa ya uwongo. Mukiandika PUMBA zenu tunajibu
 
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu!
 
Nenda kwa basha wako kama unawashwa. Humu JF hakuna biashara ya ushoga.

Nyinyi wapumbavu mnaomuabudu Magufuli kama mungu wenu hatuwezi kuwaacha muandike masifa ya uwongo. Mukiandika PUMBA zenu tunajibu
Wewe malaya itakuwa magufuli hakukulipa hela yako
 
Magufuri hakuwa na maajabu sana ila maboko anayotoa Kizimkazi yanamfanya aonekane alikuwa lulu

Ila umenikumbusha hiyo Ngoma ya Msechu imenibidi kuitafuta kwenye playlist yangu hakika mkwaju ulikuwa hit sana
 
Chukua na hii hapa, muone alivyojianika kwenye mawe kama kenge
Kwai
Hakuna anayemsafisha hapa bali nyinyi ndio mnatumia nguvu kumchafua na kushindana na marehemu, Watu wenyewe wanamkumbuka Magufuli na Samia hadi leo hawajamkubali sasa nani amsafishe Magufuli?

Kwani nchi ilikuwa kwenye vita hii hadi useme imetulia? Labda kama unazungumzia hao wakina Kikwete,January, Nape n.k waliyojiona hii nchi ni mali yao.

Samia sio tu mapungufu bali ni kama hakuna rais kabisa.
 
Mzalendo wa kweli itachukua miaka 1000 kumpata mwingine aliongoza kwa mifano na vitendo!
 

Attachments

  • 20240115_212729.jpg
    60.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…