Nisamehe Rais wangu Magufuli

Nisamehe Rais wangu Magufuli

Kalifufue shetani lenu,sisi tupo na mama
Hasira za nini mkuu? Hatujakataa nyie kuwa na mama ila pia hakuna haja ya kutokwa mapovu kwa ambao wanamkumbuka Magufuli. Sasa hayo maneno ya sijui shetani mara mkamfufue inaonyesha mna hasira sana.
 
Uko kwenye Tanzania ambao wananchi wake walipiga kula na kupata awamu ya sita ila huku kwa Tanzania ambayo hatukupiga kula lakini awamu ya sita ipo so sikushangai kwanza wapi mama Samia anakula kitu chochote kutoka kwa wananchi wenye vipato vidogo wewe kijana ulie na dishi la uyumbe
View attachment 3000153Huyu pimbi wakujianika kwenye miamba kama kenge? Na kula mahindi hadharani kama nyani? CCM walitukosea sana, Ila Mungu akafanya masahihisho 17/ 03/21. Nchi iko salama mikononi mwa Samia View attachment 3000154
 
Hasira za nini mkuu? Hatujakataa nyie kuwa na mama ila pia hakuna haja ya kutokwa mapovu kwa ambao wanamkumbuka Magufuli. Sasa hayo maneno ya sijui shetani mara mkamfufue inaonyesha mna hasira sana.
Waache na mahasira yao usikute likuwa jizi likabanwa ndio maana lina hasira nae
 
Narudia KILA MKOJA ASHINDE MECHI ZAKE. Nyie misukule ya Magu endeleni kumsifia, na sisi TUSIOMPENDA tutaendelea KUFICHUA uchafu wake. Wasomaji ndiyo watakuwa waamuzi.
Hadi leo bado hujajua uamuzi ni upi? Huna macho hata picha hauoni? Hayo mnayoita maovu ya Magufuli tumeanza kuwasikia toka akiwa hai hadi leo ila kadri siku zinavyosogea watu wanazidi kumkumbuka Magufuli halafu wewe bado unazungumzia kufichua maovu? Wewe kweli hujielewi.

Watu wameshamkataa Samia hilo lazima mkubali tu, sisi hatuna shida kwa nyie kumchukia Magufuli maana hatuwezi kujua mliguswa wapi ila tunashangaa akitajwa tu Magufuli mnawehukwa na kuanza kutaja mara mambo ya kufufuka.
 
Narudia KILA MKOJA ASHINDE MECHI ZAKE. Nyie misukule ya Magu endeleni kumsifia, na sisi TUSIOMPENDA tutaendelea KUFICHUA uchafu wake. Wasomaji ndiyo watakuwa waamuzi.
Sawa chawa wetu mahili tumekusikia
,Lakini twafahuma unayosemaga ukiwa katika upuuzi wako
 
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Takataka
 
Kinachonishinda kuelewa sasa hivi bila kujali mengine yote ni hili:

Ilikuwakuwaje hadi watu wawili ambao ni tofauti kabisa; yaani Magufuli na Samia wakaweza kufanya kazi pamoja muda wote ule?

Ni wazi kabisa udhaifu mkubwa sana uliomo ndani ya chama cha mapinduzi.

Samia na Magufuli ni watu wawili wanaotofautiana sana, siyo kwa mazuri yao tu; bali hata katika mabaya yao. Katika hali ya kawaida hawa watu wasingeweza kamwe kufanya kazi kwa pamoja.

Ukiniuliza nitaje ni wapi hawa wawili walipofanana katika kulitumikia taifa hili nitapata wakati mgumu kukupa mfano halisi. Kwa mfano, Samia anawapenda sana watu wake, wanaonufaika na asali ya nchi hii chini yake, kiasi kwamba hizi takataka nyinginezo zinazoishi katika nchi hii kwake ni kama uchafu tu!
Kwa upande wa Magufuli, yeye alionyesha (hata kama ni kwa kupenda sifa, hilo sijui) kuwa taifa hili linahitaji kuwanufaisha na kuinua hali za aliowaita wanyonge. Lile kundi ambalo sasa Samia kalikumbatia kwa nguvu kabisa, likawa ni kama maadui wakubwa wa taifa kwake.
Sasa hawa watu waliweza vipi kuwa pamoja na kufanya kazi vizuri pamoja?

Samia kajipambanua wazi kabisa, kwamba kwake, nchi ya Tanzania kwake ni fursa tu ya kuwawezesha wenye kamba na wengineo toka nje. Moyoni mwake hakuna linalomuumiza kuhusu hatma ya nchi hii. Magufuli yeye kwa upande wake, alipiga kelele nyingi sana (sijui kama zilikuwa za kweli au ghelesha tu); lakini alijipambanua kuwa anapigania maslahi ya nchi/taifa; lakini kasahau kwamba maslahi hayo ni ya watu, hata wale wakorofi waliokuwa na choyo binafsi. Badala ya kutumia njia na taratibu za kuwakomesha hawa, kwake ikawa kutumia njia za mkato, za kuumiza. Huu ndio udhaifu mkubwa uliomfanya asitambulike zaidi kwa yale yote mazuri aliyoyafanya kwa faida ya nchi hii; ambayo sasa ndio yanayofanya wengi, hata wale waliokuwa wanasita kumpa heshima yake wakati huo, sasa wanamlilia, bila shaka bila kusahau madhaifu yake!

Je, Samia na yeyey leo hii akiondoka kwenye kiti hicho, naye atakumbukwa kwa uzuri wake - hasa kule kutotumia njia za kikatili alizotumia Magufuli? Hii itatosha kumlilia Samia, kama anavyoliliwa Magufuli wakati huu?
Tuisubiri Historia itazungumza yenyewe.
 
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Tuambie huo upendo wake kwa watanzania ni upi?
 
Wahuni wameshika Hatamu.
Wale walioitwa Washamba wamewekwa kando.
Wakati wa maongezi ya simu yaliyovuja wale wazee walisema; "anajua, ndio maaana anaogopa kuja Dar"! Unadhan alikua anaogopa nini hicho!
Mtahangaika sana kumsafisha mtu asiyesafishika
 
Wahuni wameshika Hatamu.
Wale walioitwa Washamba wamewekwa kando.
Wakati wa maongezi ya simu yaliyovuja wale wazee walisema; "anajua, ndio maaana anaogopa kuja Dar"! Unadhan alikua anaogopa nini hicho!
Kweli mkuu waliongea hivyo kuwa anaogopa kuja dar?
 
Back
Top Bottom