Nisamehe Rais wangu Magufuli

Umefanya jambo jema kwasababu JPM ameusikia msamaha wako. Mtu akifa, kinachokufa ni mwili tuu lakini roho haifi, hivyo JPM yupo na amekusikia! Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

P
 
Kwa Samia sahau hilo kwa maana wapenda Bata huwa hatuwakumbuki kabisa kama hao waliopita
 
CCM chama changu ndio kiliifanya KAZI ya jpm kuwa ngumu sana ndio Maana hatukumuelewa!!

Chama kinaruhusuje wizi,ufisadi na ubadhirifu kukita mizizi kiasi hiki!!?

Akija mwenye Nia njema lazima atateseka sana kusafisha chama na serikali!

Rip comrade jpm!
 
Kwa Samia sahau hilo kwa maana wapenda Bata huwa hatuwakumbuki kabisa kama hao waliopita
Wewe unajisemea upande wako mkuu, ambao ni upande wa Magufuli. Kuna "wala Bata" ambao hawasikii lolote kuhusu mtu wao huyo, hata kama huwasikii mara kwa mara. Akina JK hadi leo wanao wafuasi, usisahau.

Ngoja nisiondoke bila kukupa ushauri huu.
Ni vizuri kumkumbuka kiongozi mliyeona anafanya kazi nzuri kwa maoni yenu. Hiyo haitoshi, hasa katika wakati huu.
Kumuenzi kiongozi wenu ni kufanya juhudi ya kuondoa yale mnayoona kiongozi huyo hakuyapenda. Ni jukumu lenu sasa kujipanga kuhakikisha kuwa haya msiyoyapenda yaondoke haraka. Haitoshi kubaki mnalalama tu na kumlilia kiongozi. Lindeni 'legacy' yake kwa kuhakikisha aliyokuwa akiyasimamia hayavurugwi kama yanavyovurugwa sasa hivi.
Anzieni kampeni zenu huko ndani ya chama chenu.
 
Nimeiona hii picha nimelia sana hadi muda huu machozi yananilengalenga hadi nashindwa kuona vizuri herufi kwenye keyboard.Nikikumbuka namna nchi inavyoharibiwa na kuuzwa Kwa waarabu ambao ni kichaa pekee anaweza kukubali hayo matwakwa yao.pumzika Kwa amani mzalendo.ulisema kweli tutakukumbuka
 
Hakuna lolote, Rais asiyetoa ansurance ya usalama wa wananchi wake hata wale wanaomkosoa basi huyo hafai hata kidogo.

Bora ulale njaa ila una uhakika wa haki ya kuishi.
Kanyima haki za kuishi kwa baadhi ya watu ambao hatunao leo.

Apumzike anapostahili.
 
Any chama gani unaongelea maana mie niko chamaless
 
Kama zingekuwepo hata barua kwenda Mungu walu ningemwambia jinsi hawa viongozi uchwala wanavyo iharibu yoyote aliunda upya jembe letu na kumnoa jembe ambaye akija atafyeka wala rushwa zaidi ya kim jong
 
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Hayo yote unayoeleza watu wameyasikia tokea Magufuli akiwa hai ila bado watu wanamkumbuka Magufuli. Athari za mapungufu ya Samia ziko wazi na zinawagusa watu kiuhalisia kuliko mengi yaliyoelezwa kuhusu Magufuli.
Kama yapi? Taja moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…