Brother!
Watanzania wengi wanaowaponda manabii hawa;Passion Java na Papa Lovy Elias Longomba hawafuatilii mafundisho yao kwa kina wanaangalia tu muonekano.
we waache na ujinga wao watakua kama watoto waliodhihaki kipala cha Nabii Elisha unajua nn kiliwatokea ?
Wabongo wengi tunaangalia mambo juu juu sana yaani kama ni vitabu sisi rangi ya jalada tu inatutosha kusema chochote tusichokijua juu ya kitamu kama tumekisoma hivi...uvivu wa kufuatilia mambo na ugumu wa kuingiza maarifa mapya ni zaidi ya janga....
Basi hata wewe ni nabiiUnakijua kitu kinaitwa Spiritual discernment ?
Tuachane na hayo..
Neno....
Lovy ni Anafundisha namna ya kumjua Mungu na kuwa na mahusiano naye wewe binafsi.
Na kuelewa Ufalme wa nuru unavyofanya kazi.
Ukiwa msomaji wa Biblia utamuelewa Lovy vizuri.
Spiritual Gift unazijua ?
Karama tisa zilizotajwa kwenye 1Wakorintho 12:7
anazielezea moja baada ya nyingine na zipoje na unazipataje.
Fundi wa mifano kwenye mafundisho yake.
dream interpretation [emoji91]
Types of vision [emoji91]
Kasome kwenye biblia utaona zamani kipindi cha Nabii samweli kulikua na chuo cha Manabii.
Watu wanaenda kusoma.
Kwahiyo ukitaka shule ya unabii Tembea na Lovy Elias kwa makini na akili.
Hata Picha yake basi tumuone. Anatokea wapi huyo Nabii?Kama ni nondo Huyu nabii anazo kweli kweli, chakula kigumu haswa
Prophet Lovy karibu nyumbani watoto wa Mungu tunakupenda sana.
Kama ndio hawa ni Bora nirudi kunywa Ulanzi huku Iringa kuliko kwenda kuwaona na kuwasikiliza hawa wapuuzi.Nabii kajaa Tatoo mwili mzima na vipini puani View attachment 2835072View attachment 2835073
Huyu ana matatuu dread na vipini yani anapga mapigo ya diamond nadhani ni biashara maana wameletwa na wasafi si wanajua vijana siku hizi wanapenda swaga hadi kwenye imani basi wamewaletea nabii wao.Siku hizi shati la kitenge na suruali ya sufi unakuwa nabii
Hawajaletwa na wasafi... Wameletwa na Malisa wa Kingdom Embassy pale kibanguHuyu ana matatuu dread na vipini yani anapga mapigo ya diamond nadhani ni biashara maana wameletwa na wasafi si wanajua vijana siku hizi wanapenda swaga hadi kwenye imani basi wamewaletea nabii wao.
Ukristo sijui baada ya miaka 20 utakuwaje
Lipia tangazoKama ni nondo Huyu nabii anazo kweli kweli, chakula kigumu haswa
Prophet Lovy karibu nyumbani watoto wa Mungu tunakupenda sana.
Fake prophet. Uthibitisho uko wazi, ni hatari huyu!!Ni vitu gani vimekuthibitishia kuwa ni nabii?
Kujitofautishaje, kuna maelekezo au utamaduni?.. Wapi ulisikia wakisema wanataja ushoga na unabii?Acha upotoshaji. Biblia inasema tujitofautishe na walimwengu na njia zao. Wewe unataka ushoga na hapo hapo uwe Nabii. Hapana Hapana.
Makenzie unamlinganisha na Passion Java na Lovy?..duuuh!Wana nondo gani? Hata Makenzie alikuwa na nondo kwa kondoo wake. Nabii kipini na dread na matatoo mwili mzima. Mungu atusamehe kwakweli. Yani Java mwaka Jana tu alikuwa anavaa kishoga kwenye club za usiku na akawa DJ na ndiye Rais wa label ya Rayvanny. Sasa hapo mjinga nani? Nyie danganyikeni wenyewe msidanganye wengine.