Niseme tu namkubali sana Prophet Lovy Elias (Tarehe 08/12/2023 sio ya kukosa)

Niseme tu namkubali sana Prophet Lovy Elias (Tarehe 08/12/2023 sio ya kukosa)

Wamekuja kufanya biashara zile za upande wa pili (kama sio madawa ni human trafficking) kwa njia za kuhubiri Injili.. nimewapa code ila watanzania wengi ni mataputapu kichwani..
 
Promo za kipuuzi zimejaa sasa, mabango ya kitapeli mmeyajaza kila Kona dar, mapicha picha ya ku edit, na marangi! Mapicha ya watu wasiojulikana, eti wameponyeshwa!
Kwanini usiende ocean load, ukaponyesha wangonjwa wote wenye shida! Kisingizio Chao utasikia, "kama, hawatapona, hawana Imani Hao"
Ukiangalia picha za Hao"watumishi"kwanza, unawapa, kesi, unajiuliza wametokea wapi? CV Yao kwenye kqzi, ya, Mungu, ilianzia wapi! Au ndio mbinu za kutafuta maokoto maisha yaende!
Kuna watu kama Mwakasege, Moses klora, John hagee,TD Jakes, Myles Munroe! Joyce Meyer nk,wanajulikana mwanzo wao, sasa nyie wauza sura mnaibuka tu Leo, Tamasha Hilo! Mkusanye sadaka, mmetokea wapi, before now!
 
Kama ni nondo Huyu nabii anazo kweli kweli, chakula kigumu haswa

Prophet Lovy karibu nyumbani watoto wa Mungu tunakupenda sana.
Brother!
Watanzania wengi wanaowaponda manabii hawa;Passion Java na Papa Lovy Elias Longomba hawafuatilii mafundisho yao kwa kina wanaangalia tu muonekano.
 
Anakupa nondo gani zaidi yakusimulia hadithi zilizoandikwa Kwenye bibliaa mkuu.

Wajinga ndio waliwao..
Mkuu huenda huelewi ulichokiandika, Biblia hauijawahi na wala haitotokea kuwa kitabu cha hadithi.
Biblia ni maisha, ni neno hai lenye pumzi ya Mungu
 
Brother!
Watanzania wengi wanaowaponda manabii hawa;Passion Java na Papa Lovy Elias Longomba hawafuatilii mafundisho yao kwa kina wanaangalia tu muonekano.
we waache na ujinga wao watakua kama watoto waliodhihaki kipala cha Nabii Elisha unajua nn kiliwatokea ?
 
sjawai kumskliza ila nilshangaa kumuona kwenye picha sku wanashuka airport akiw kachora tatoo
Wabongo wengi tunaangalia mambo juu juu sana yaani kama ni vitabu sisi rangi ya jalada tu inatutosha kusema chochote tusichokijua juu ya kitamu kama tumekisoma hivi...uvivu wa kufuatilia mambo na ugumu wa kuingiza maarifa mapya ni zaidi ya janga....
 
Mkongomani ila alihamia Marekani ndio akawa nabii. Alikuwa anaishia Kenya na kuimba muziki, Kama wimbo mmoja ulikuwa inaitwa funguo.
Baba ni Mkongo, Mama ni Mkenya, kakulia Kenya kwa Mama ake, Baba ake alifariki zamani, Baba ake alikua Kaka wa Awilo longomba, Awilo ni Baba ake mdogo, alikua na Kaka yake, ambaye ndo alikua na kipaji kikubwa cha Muziki kuliko Lovy....!

Nadhani alishafariki.
 
Baba ni Mkongo, Mama ni Mkenya, kakulia Kenya kwa Mama ake, Baba ake alifariki zamani, Baba ake alikua Kaka wa Awilo longomba, Awilo ni Baba ake mdogo, alikua na Kaka yake, ambaye ndo alikua na kipaji kikubwa cha Muziki kuliko Lovy....!

Nadhani alishafariki.

Yeah alifariki kwa kansa.
 
Hauwi nabii kwa kile unachokiongea jukwaani, unakuwa nabii kwa maisha uliyoyaishi na baada ya kufa wale waliyoyashuhudia maisha yako ndio wanaweza wakasema ya kwamba kweli wewe ulikuwa nabii.
Lakini hizi trakatraka mnazoziita nabii zinawapiga hela tu afu zinaingia mitini, hivi tangu hawa manabii waanze kuja mtu hujajifunza kitu tu, let say umeanza kuwafuatilia 2010 mpaka leo umeshabadilisha manabii wangapi.
Nguvu za kuchukua kwa kalumanzila huwa zinaexpire, usijifihe kwenye kulijua neno la Mungu mtu yeyote anayejua kusoma anatakiwa ajitafutie maarifa, sasa wewe unaweza kusoma biblia afu bado unategemea nabii aje akufundishe, ungekuwa hujui kusoma sawa.
Nabii my foot

Yani watu wanazidi kuwa wajinga, wakati vyuo vikuu vimejaa.
 
ndugu yangu hata mimi Malisa sijawahi kumfatilia lakini Kwa Lovy Namuamini sana

Unamuamini Lovy? Shida inaanzia hapo. Baadala ya kumwamini Yesu Kristo unamuamini Lovy, ndio maana hata madhaifu yake huyaoni kisa unamuamini. Hata Makenzie akiaminiwa na waumini wake mwishi wa siku akawatupa.
 
Yupo deep in scripture lakini kwa context ya USA sio Tanzania. Ila nadhani kila mtu ahubiriwe na "manabii" wake otherwise wataleta chaos sio kwa sababu sio true preachers ila hawako compatible na mazingira yetu.

Hakuna Cha context Wala nini. Huwezi ukatetea ushoga kisa marekani wanakubali ukasema Kuna context ya Marekani. Tuache uongo. Dhambi ni dhambi hakuna Cha marekani wa la Tanzania.
 
Hata Yesu walimwambia hana akili na anapepo.
Muonekano wa Mtu usikuchanye Kama wewe kwako vazi la heshima ni suruali na sharti. kuna wengine kwao vazi la heshima ni ngozi kufunika chini tu.

Acha kumlinganisha Yesu Kristo na Hawa wahuni. Huyo Java si alikuwa anavaa kishoga mpaka nywele anasuka. Ndii umlinganishe na Yesu Kristo. Be serious. Mtu kavaa kipini, kasuka rasta unasema tusimuangalie muonekano, acheni utapeli. Mtumishi lazima afanane kitumishi sio kihuni na kishoga.
 
Unakijua kitu kinaitwa Spiritual discernment ?
Tuachane na hayo..

Neno....
Lovy ni Anafundisha namna ya kumjua Mungu na kuwa na mahusiano naye wewe binafsi.
Na kuelewa Ufalme wa nuru unavyofanya kazi.

Ukiwa msomaji wa Biblia utamuelewa Lovy vizuri.

Spiritual Gift unazijua ?
Karama tisa zilizotajwa kwenye 1Wakorintho 12:7
anazielezea moja baada ya nyingine na zipoje na unazipataje.

Fundi wa mifano kwenye mafundisho yake.
dream interpretation 🔥
Types of vision 🔥

Kasome kwenye biblia utaona zamani kipindi cha Nabii samweli kulikua na chuo cha Manabii.
Watu wanaenda kusoma.

Kwahiyo ukitaka shule ya unabii Tembea na Lovy Elias kwa makini na akili.

Aiseeh! Biblia ilisema mna macho ila hamuoni ndio nyie. Endeleeni na kujifanya wajinga wakati mna akili timamu
 
Back
Top Bottom