n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Takbirrrr. Wajinga wengi ndio mitaji ya hawa waabudu mashetani. Kukosa maarifa ya neno la Mungu hupelekea maangamizi makubwa sana.Kanisa limevamiwa. Siku hizi hata ukiwa shoga lakini ukijiita nabii basi ushoga wako ni ruksa