[emoji1][emoji38][emoji38][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji10]mkweeeeee!!!Population yake ni wanawake aliokutana nao wakati anatafuta mke. Mimi hata huo uzi sijawahi kuuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu mkubwa
Ukija na shungi utarudi na kirembaaaaa!!!!humuuuuYaaani uingie jf usicheke
Utakuwa huna bandama
Nimekupata kabisaa na ndio maana nimenyamaza hunioni napenda style yako ya huku kabisa ndio maana no comment.Whatever i did and texted/wrote back in days i did for a purpose. Trust me. Napenda kuwa yule mtu anayefahamika humu kama gudume naenjoy kuwa hivyo coz humu nakuwa huru kama gudume. nje nashindwa kutokana na mambo kadhaa.
So nikwambie tu ktk akili timamu mimi siwezi tafuta mchumba humu. Ila gudume anaweza tafuta mchumba humu. Mimi nmeoa zamani.ila gudume ameoa siku za hivi karibuni. Sijui kama umenielewa.
kama jukwaa la siasa? ambako kuna watu hata Rais Magufuli akiingia toilet utasikia "hatujawahi kuwa na rais bora kuliko huyu, anaingia toi kwa wakati"Lakini na nyie. Members wengine muwage basi mnajitahidi kupitia pitia kwenye majukwaa mengine basii
Yaani nyinyi kila siku ngono tu kweli "
Binafsi huwaga nakuja MMU kwaajili ya kupata Ucheshi " nasio vinginevyo maana comments za watu wa jukwaa hili huwa ni zawatu wanao onyesha kwamba wamevurugwa mno aise ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vyema " sana ... binafsi Jf imenifanya niweze kuijua vyema Jamii ya watu wetu ilivyo " huko nje watu wengi wana ishi maisha yao " kwa ku-fake maisha " ila uhalisia wa maisha yao upo humu .... huko nje wana jifanya ni watu smart sana "Humu kuna wadangaji wa kike na wa kiume!!
Kuna uchafu wa aina zote kwa pande zote mbili za jinsia zetu ke & me!!trust me!
Kuna wadada humu wanajifanya kuandika points ili wadrive attention za watu ukimsifia kesho kaja PM kujilengesha atakuambia matatizo yake yoteee...halafu atakupiga kibomu!!!huko huko PM...
Kuna wakaka humu nao hvyo hvyo ndo walivyo..basi tabu tabu na tafrani kama zote..kutindinganyana tuuHumu jf ktk 100% naweza sema only 2% ndio wako safi wengine wote kutindinganya tuu!!!
Kuna watu ukisoma muandiko wao tofauti na uhalisia wao!!.[emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji2][emoji1]kuna wanaondika upuuzi ila ni wastaarabu balaaa...ila kuna wanaoandika points kumbe ni vichefuchefu hawafai...
Mwanzo I was so naive to understand jf but nowadays naichukulia kama ilivyo...!!!!
Hapa ni kama Open University vile
Balaaa..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ukija na shungi utarudi na kirembaaaaa!!!!humuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana mkuu alikufanya nn uyo dadaMwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.
Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.
Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.
All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
Haha muone ... na kwenye ule uzi wa kusoma Vitabu pia umo .[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Tusichokubali au tusichokielewa ni kwamba tulioko huku JF ndio haohao walioko huko makazini au mitaani kwetu,tofauti ni kwamba hapa hatujuani tu.
Ila nimependa umesema ukweli mchungu wengi humu tunajikuta maslay queen wakati nje ya hapa uhalisia wa maisha yetu unatisha hivyo hivyo kwa wanaume wa humu.
Hapo kwenye elimu ndo penyewe kabisaaa ujuaji mwingiiii na kutaka kuonekana kila mahali wakati ni zero Brain.
Anayekuambia ukweli anakupenda nakuunga mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye msafara wa Mamba !!!? Yakupasa uwe na akili inayo chambua chuya na kuzitupa kisha mchele na kuupikakama jukwaa la siasa? ambako kuna watu hata Rais Magufuli akiingia toilet utasikia "hatujawahi kuwa na rais bora kuliko huyu, anaingia toi kwa wakati"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngwee Ngwee NakaziaTusichokubali au tusichokielewa ni kwamba tulioko huku JF ndio haohao walioko huko makazini au mitaani kwetu,tofauti ni kwamba hapa hatujuani tu.
Ila nimependa umesema ukweli mchungu wengi humu tunajikuta maslay queen wakati nje ya hapa uhalisia wa maisha yetu unatisha hivyo hivyo kwa wanaume wa humu.
Hapo kwenye elimu ndo penyewe kabisaaa ujuaji mwingiiii na kutaka kuonekana kila mahali wakati ni zero Brain.
Anayekuambia ukweli anakupenda nakuunga mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wadangaji wapo mpk intelligence sasa nkuambie!!!!msione mkadhaniLakini na nyie. Members wengine muwage basi mnajitahidi kupitia pitia kwenye majukwaa mengine basii
Yaani nyinyi kila siku ngono tu kweli "
Binafsi huwaga nakuja MMU kwaajili ya kupata Ucheshi " nasio vinginevyo maana comments za watu wa jukwaa hili huwa ni zawatu wanao onyesha kwamba wamevurugwa mno aise ...
Sent using Jamii Forums mobile app