Hivi kule Kuna Ke wengi kweli ?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wadangaji wapo mpk intelligence sasa nkuambie!!!!msione mkadhani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hii inaitwa ngumu kumezaHahaha
Itapata views wengi ,wachangiaji wachache!!!
Jf kichaka!!!
Kuna usemi unasema "unachokiandika asilimia 70 kinaonesha wewe ni mtu wa namna gani"Lakini na nyie. Members wengine muwage basi mnajitahidi kupitia pitia kwenye majukwaa mengine basii
Yaani nyinyi kila siku ngono tu kweli "
Binafsi huwaga nakuja MMU kwaajili ya kupata Ucheshi " nasio vinginevyo maana comments za watu wa jukwaa hili huwa ni zawatu wanao onyesha kwamba wamevurugwa mno aise ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu humu wanashinda Siasani tu,intelligence na jf palace ila mabingwa wa PM kwa wadada [emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]yaani hao wanacheza na PM tu humkuti MMU au chit chat hata siku1Umeongea vyema " sana ... binafsi Jf imenifanya niweze kuijua vyema Jamii ya watu wetu ilivyo " huko nje watu wengi wana ishi maisha yao " kwa ku-fake maisha " ila uhalisia wa maisha yao upo humu .... huko nje wana jifanya ni watu smart sana "
Ila wakiwa humu ni waropokaji wakubwa " watukanaji ..wazinzi .malaya wa level ya PHD mbaya zaidi sasa kuna wanao fake huko nje mpaka humu wana fake lakini pm zao zimejaa mataka taka yote kiasi kwamba hata mods wakiyapitia wanabaki kuachama midomo wazi (gossshhh si fulani huyu !!!!!)
Hii ndio sababu iliyonifanya niupende huu mtandao kwa sababu watu wako real zaidi " tofauti na jinsi walivyo katika maisha ya kawaida .... ina saidia kuweza kukufanya uielewe vyema jamii yako ... hata ikitokea siku ukisikia mtakatifu fulani kabaka hauwezi kushangaa kwa sababu utakuwa umeshajua kwamba ule utakatifu aliokuwa amejipachika haikuwa rangi yake halisi bali ni fake tu ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Doooh jamanNGOJA NISEME UKWELI NA MIMI
Mkuu ulichoandika ni kweli kwa asilimia 100. Kama kuna watu ambao walikuwa wanakuchukia humu ndani basi MIMI NILIKUWA NAMBA MOJA KWA KUMCHUKIA GUDUME. Nakumbuka nlishaandika sana nyuzi za kumlaani na kusema nitamtanya jambo flani.
Nlibadili ID yangu nikatafuta sababu ya kuonana naye ili nijue nifanye nini. Jamaa anionana nami lakin katika namna ambayo alikuwa na umakini flani nilikuja jifunza baadaye. Tulionge sana posta karibu na jengo la NIDA kuna mgawahawa wasomali mzuri.
Jamaa nligundua ni mtu smart, anajiamini na ana uelewa mkubwa sana.tulipiga stories ni tofauti na anavyoonekana humu ndani.TOFAUT SANA. alinisaidia kwa jambo ambalo nlikuwa nmejifanya kama ni tatizo ila alinipa namna ya kutatua ambayo nikasema ningekuwa na hilo tatizo kweli angekuwa amenisaidia sana.
Nje ya JF hapendi kuzungumzia JF. nlishangaa kwa nini. Nje anasema yeye si Gudume.so leo nmeelewa sana. Humu JF KUNA WATU WANA AKILI NA UELEWA MKUBWA. NASHUKURU SANA SINA CHUKI NAYE na yule dada kahaba ambaye alisababisha haya nimemsamehe ila ajifunze kitu pia. Maana hakufanikiwa hata kwa gudume.
Yeah ni kweli " ... sahihi kabisaKuna usemi unasema "unachokiandika asilimia 70 kinaonesha wewe ni mtu wa namna gani"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao me pia wandanga siku hizi!!!![emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
Hahaaa full ku-fake mamaee " ....Exactly!!! Yaani humu ni chuo cha mafunzo!!!akili kumkichwa ukilemaa umeachwa feriKuna watu humu wanashinda Siasani tu,intelligence na jf palace ila mabingwa wa PM kwa wadada [emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]yaani hao wanacheza na PM tu humkuti MMU au chit chat hata siku1
Kuna wengine wana I'd za MMU na hayo majukwa. Mengine[emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]pia..mnayosema ya great thinkers!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao me pia wandanga siku hizi!!!![emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha angenyambwa hatariMada hii ingeletwa na member mwingine mwenye low profile,angekiona cha moto
Sent using Jamii Forums mobile app
I'm telling u na sio mmoja...!!![emoji1][emoji28][emoji28]wanataka kuonekana smart kumbe asubuutuuuu!!!!!
Nakuambia Mimi mjini hapa!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ishi maisha yako
[emoji23][emoji23][emoji23]I'm telling u na sio mmoja...!!![emoji1][emoji28][emoji28]wanataka kuonekana smart kumbe asubuutuuuu!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mada hii ingeletwa na member mwingine mwenye low profile,angekiona cha moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa sisi tunaojifanya mabingwa wa kuslay chaaaaa JF kiboko kabisaaa.Nakuambia Mimi mjini hapa!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ishi maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna watu wanachangia kama malaika vile[emoji1][emoji1]wakati poooooohhh!!ngoja nkae kimya miye...!!!
Kama kweli vile
Yaani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna watu wanachangia kama malaika vile[emoji1][emoji1]wakati poooooohhh!!ngoja nkae kimya miye...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge La mdada,akili nyingi!!!Hasa sisi tunaojifanya mabingwa wa kuslay chaaaaa JF kiboko kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua najua " ... mtoa mada hajaongelea udangaji tu pekee amezungumzia " Uwezo wa kufikiri kwa baadhi ya members pia "kuwa ni mdogo " na wao wapo humu humu wana vimba kwamba ni ma-great thinkers kwamba inapotokea wakakutana huko " huwa wana discuss utumbo badala ya kuonyesha u-great thinkers wao walionao " .... Imagine kuna jamaa hapo nimeona ametoa mchango wake kwamba kuna manzi alikutana nae humu akawa anamtumia mpaka clip akiwa anafanyana na mchepuko wake (huyo manzi ni mke wa mtu) so waweza kuona kwamba humu pia kuna watu wenye akili za namna gani " !!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wadangaji wapo mpk intelligence sasa nkuambie!!!!msione mkadhani
Sent using Jamii Forums mobile app