Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ngoja nilikung’ute nione....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikisema unaweza ukalia bure babe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeh. Na tukienda kwa Resty nitakuja na raba yangu aliyoniletea zawadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan mtu una mke unayemuona intelligent halafu una muda wa kuwafanyia utafiti wanawake wengine? Kuna watu wamebarikiwa aisee !! HahahahhaNa huwez kumuelewaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda uzime data
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tena sukar ya warembo mbn umekuja kimya kimyaa jaman au nimechujaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]ex baby wanguDemiss....mambo ex babe wangu.?
Bado unaniona nimechuja?
Juzi nilitaka kuivaa nikutupie picha nikaona aibu nilivyokua nimevaa ningevaa na Ile raba ningeonekana slei kwini bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu itupie humu....
Wamebarikiwaa si kidogooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hongeraa zaoooooYaan mtu una mke unayemuona intelligent halafu una muda wa kuwafanyia utafiti wanawake wengine? Kuna watu wamebarikiwa aisee !! Hahahahha
Sent using Jamii Forums mobile app
Pacha wangu huishiwi vituko... ulitaka kuoa mwanamke jf umebadili mawazo unarudi kijijini tu hahaha mbona na sie wa kijijini tuna simu na tupo jf kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tena sukar ya warembo mbn umekuja kimya kimyaa jaman au nimechujaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]ex baby wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah... Mkuu, umekomaa na hii point...Mkuu....
Hivi kumbe humu jf kuna wanawake kwani...!!??[emoji53] [emoji53]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nije Dodoma kesho tule mwaka mpya?
Juzi nilitaka kuivaa nikutupie picha nikaona aibu nilivyokua nimevaa ningevaa na Ile raba ningeonekana slei kwini bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka tigooo[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa ,bora huko kijijini hata wakiwa humu wana ustaarabu kidogo,wengi wa humu ni wale walioshindikana,wameshaliwa mpaka mifupa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Dar nadanga hatar wewe nitafute kwenye ile namba yangu ya zantel
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anatafuta kina theresa may au christine lagarde ?? Hahaaa, masikini kakutana na kina demiss ! ( kata mti..panda mti) hahahaa..!Wamebarikiwaa si kidogooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hongeraa zaooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh....
Namba yako ya Zantel sina.
NiPM ile ya Voda....
Alikuwa anatafuta kina theresa may au christine lagarde ?? Hahaaa, masikini kakutana na kina demiss ! ( kata mti..panda mti) hahahaa..!
Sent using Jamii Forums mobile app