Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash. Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Vyovyote, na ndege zitanunuliwa na hela ya mkopo kama ulisomeshwa na serikali tutakudaiKwa kuiva kura kwenye vituo
Hata kuandika hujui.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash. Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Mtu ambaye anajielewa hawezi kuipigia kura CCM , CCM inapendwa na wasiojielewa tu ,Mambumbumbu.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash. Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Graduate atayeichagua tena fisiemu ni kilaza wa kimataifa.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash. Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Kama ww ulivo shinda ktk familia yakoCCM itashinda kwa kishindo
Ndio Mana unasota,ukashindwa kutumia elimu yako inasubiri ajira.wapiga Kura tupo milioni 12,wewe ndio kwanza una watu 800 ambao huna uhakika naoTuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Akili fupi Kama maisha ya funza.800??? What a joke! Yaani hao waikatae CCM halafu hizo kura 800 wagawane wapinzani na waiondoe CCM madarakani?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app