Ndio Mana unasota,ukashindwa kutumia elimu yako inasubiri ajira.wapiga Kura tupo milioni 12,wewe ndio kwanza una watu 800 ambao huna uhakika nao
Hao milion 12 wanampigia baba ako kura au ....nyie ni mzigo kwa taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Mana unasota,ukashindwa kutumia elimu yako inasubiri ajira.wapiga Kura tupo milioni 12,wewe ndio kwanza una watu 800 ambao huna uhakika nao
Umesoma hujaelimika,wewe ni hasara kwa taifa,bora wazazi wako fedha wangenywea tungi tu
Huwa nawaasa wadogo zangu kama ulivyonena hapa wananiangalia wanasema 'anasema nini huyu'. Hata CUF wakichukua dola mleta sledi asidhani kama watakuja na mkate mezani kwake. Life is how you make it. Huwa nawaambia Maisha sio Siasa. Mwanasiasa nae anatafuta ajira muda huu.
Njoo uwakisanye wengine laki tano wapo huku Moshi alafu uwapeleke kwenye chama chenu, CCM haiajiri graduates, duniani kuna graduates mamilioni na hawana ajira sijui wewe graduate wa chuo gani ambaye unakosa hata common seMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Hakuna makubaliano ya wenye njaa yanayodumu.. Watu 801 mnatosha kufyeka pori Kilosa mkalima pilipili heka 800 ndani ya miezi 4 hauwezi kuwa hapa tena kuwalaumu ccm.
Ndio mia nane how huo niurongoCCM itashinda kwa kishindo
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Utakuta mmesoma business Sasa mtaajiriwa wap kauzen Nyanya kama mlitaka kuajiriwa kwenye ndege mgesoma upailotMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Njoo uwakisanye wengine laki tano wapo huku Moshi alafu uwapeleke kwenye chama chenu, CCM haiajiri graduates, duniani kuna graduates mamilioni na hawana ajira sijui wewe graduate wa chuo gani ambaye unakosa hata common se
Nguvu ya wengi ni umojaMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Wanasubiri kuajiliwa na darasa la saba halafu wanalalamika wabunge darasa la saba wasiwepoUtapata vipi Ajira na wakati kuandika kwenyewe unafanya Kwa papara na Una elimu ya juu.. inaelekea wewe sio mtulivu, Waingereza MTU kama wewe wanamwita Careless..pia shame on you na wenzako ambao mmepatiwa elimu ya juu na bado mnalialia kutafutiwa Ajira...nyinyi wasomi ndio mnaotakiwa kutengeneza Ajira ili nchi ifaidike na ubunifu wa akili zenu na sio the other way around.
Punguza povu...unahitaji mtaji gani kua mwalimu wa tution?ww unadhani watu wote walioajiajiri walipewa mtaji?Wapumbavu bado mpo wengi, unataka ajiajir umempa mtaji??
Umemtengenezea masoko ya kuuzia bidhaa zake mfano mazao ya kilimo??
Mnatia kinyaa kabisa pumbav.
Bora mngenunua ndege za mizigo ili ziwe zinapeleka njegere na viazi ulaya badala yake mmeyapaki yanabeba wasafir wa kutoka Mbeya to Dar kwa mwezi yanawaka mara 1.??[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Mashetani nyie.
Bora hiki kizazi kifutwe kianze kipya maana kimejaa upendeleo na wachache ndo wanafaidi.
Tuition inategemea mazingira Kijana, Kuna sehemu hata uanzishe tuition bure hakuna mtoto anakuja.Punguza povu...unahitaji mtaji gani kua mwalimu wa tution?ww unadhani watu wote walioajiajiri walipewa mtaji?
Hata New York machokoraa wapo.Tumia akili wewe..ethiopia ni inchi yenye miundo mbinu kutuzidi wanamidege mikubwa ila wananchi wake wanaongoza kuvamia nchi za watu.....
Baba kutowapa chakula watoto wako hawavai just because una repea nyumba kununua vitu vya anasa huu nao ni upuuzi wa hali ya juu
CCM itashinda kwa kishindo