Uchaguzi 2020 Nishahamasisha wahitimu 800 tuliokosa ajira tuikatae CCM kwa nguvu zote

Uchaguzi 2020 Nishahamasisha wahitimu 800 tuliokosa ajira tuikatae CCM kwa nguvu zote

Ndio Mana unasota,ukashindwa kutumia elimu yako inasubiri ajira.wapiga Kura tupo milioni 12,wewe ndio kwanza una watu 800 ambao huna uhakika nao

Hao milion 12 wanampigia baba ako kura au ....nyie ni mzigo kwa taifa hili
 
Huwa nawaasa wadogo zangu kama ulivyonena hapa wananiangalia wanasema 'anasema nini huyu'. Hata CUF wakichukua dola mleta sledi asidhani kama watakuja na mkate mezani kwake. Life is how you make it. Huwa nawaambia Maisha sio Siasa. Mwanasiasa nae anatafuta ajira muda huu.

Tumia akili wewe..ethiopia ni inchi yenye miundo mbinu kutuzidi wanamidege mikubwa ila wananchi wake wanaongoza kuvamia nchi za watu.....

Baba kutowapa chakula watoto wako hawavai just because una repea nyumba kununua vitu vya anasa huu nao ni upuuzi wa hali ya juu
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Njoo uwakisanye wengine laki tano wapo huku Moshi alafu uwapeleke kwenye chama chenu, CCM haiajiri graduates, duniani kuna graduates mamilioni na hawana ajira sijui wewe graduate wa chuo gani ambaye unakosa hata common se
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.

YAAAANI AKILIZENU NDIO HIZI NN AJIRA
HATA KUJITOLEAAA MSIPATEE KABJSAAA
 
Wote 800 njooni niwape mashamba...
Mwenzenu masterz nimeweka kando nalima ufuta na mapalachichi...

Sina sababu ya kuilaumu ccm kunipa ajira.

Hukusoma ili uajiriwe... umesoma ili ufungue ubongo uishi maisha bora hata bila ajira.

Kama sio mvivu huitaji mtaji kulima... utaanza na eka 2 za kwanza kwa kilimo cha mkono. Next year uko mbele zaidi.

Kama mlizaliwa muhimbili na mwananyamala sintawalaumu[emoji3][emoji3][emoji3]... joking ..no povu pls
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
 
it's a shame kua umesoma na hujaelimika...unasubiri kuajiriwa graduate mzima...Umeshindwa ht kufundisha tution unabaki unazurura mtaani na kulia lia mitandaoni...I bought my first phone "Samsung C100" back then nikiwa mhitim wa form 6 kwa kula vichwa vya Tutuion...sikua na Mtaji wa pesa wala kua graduate km wewe...Mtaji Ubongo...wapange wanafunzi jioni ule vichwa upate mtaji wa kufanya na Mengine otherwise tafuta mume uolewe.
 
Pambaneni na Hali zenu kunguru nyie wakati mpo chuo si mlikuwa mnajikuta Watoto wa kishua hata hamsomi kwa juhudi heti mnaruka viwanja mwisho wa siku mmegraduate na GPA na hovyo hovyo halafu mnataka ajira.
Endeleeni kuvuna mlichopanda.
Shame on you.
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Utakuta mmesoma business Sasa mtaajiriwa wap kauzen Nyanya kama mlitaka kuajiriwa kwenye ndege mgesoma upailot

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Njoo uwakisanye wengine laki tano wapo huku Moshi alafu uwapeleke kwenye chama chenu, CCM haiajiri graduates, duniani kuna graduates mamilioni na hawana ajira sijui wewe graduate wa chuo gani ambaye unakosa hata common se


Daaah umemchana mule mule
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Nguvu ya wengi ni umoja
 
Utapata vipi Ajira na wakati kuandika kwenyewe unafanya Kwa papara na Una elimu ya juu.. inaelekea wewe sio mtulivu, Waingereza MTU kama wewe wanamwita Careless..pia shame on you na wenzako ambao mmepatiwa elimu ya juu na bado mnalialia kutafutiwa Ajira...nyinyi wasomi ndio mnaotakiwa kutengeneza Ajira ili nchi ifaidike na ubunifu wa akili zenu na sio the other way around.
Wanasubiri kuajiliwa na darasa la saba halafu wanalalamika wabunge darasa la saba wasiwepo
 
Wapumbavu bado mpo wengi, unataka ajiajir umempa mtaji??
Umemtengenezea masoko ya kuuzia bidhaa zake mfano mazao ya kilimo??

Mnatia kinyaa kabisa pumbav.

Bora mngenunua ndege za mizigo ili ziwe zinapeleka njegere na viazi ulaya badala yake mmeyapaki yanabeba wasafir wa kutoka Mbeya to Dar kwa mwezi yanawaka mara 1.??[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]

Mashetani nyie.

Bora hiki kizazi kifutwe kianze kipya maana kimejaa upendeleo na wachache ndo wanafaidi.
Punguza povu...unahitaji mtaji gani kua mwalimu wa tution?ww unadhani watu wote walioajiajiri walipewa mtaji?
 
Punguza povu...unahitaji mtaji gani kua mwalimu wa tution?ww unadhani watu wote walioajiajiri walipewa mtaji?
Tuition inategemea mazingira Kijana, Kuna sehemu hata uanzishe tuition bure hakuna mtoto anakuja.

Pia uchumi wa sasa + elimu bure imewalemaza wazazi, ukianzisha tuition wanataka bure au hawalipi maana washaa ambiwa elimu bure.

Sikiliza mpambe wa mashetani, Mimi sio graduate lkn macho yanaona wanacho fanyiwa sio haki.

Ni kweli ajira sio lazima Kama nafasi zimejaa, lkn ilipaswa kutengeneza mazingira rafik ya kujiajir.

Kwanza soko la mazao likiwepo zuri hasa la nje, hakuna mtu atakwambia acha kutafuta ajira kalime, automatic wewe mwenyw utaenda kufuga au kulima.

Leo unaweza kukaa na kuku wa Nyama mwezi mzima unatafuta wateja, huo si upumbv.
 
Kwenye wapigakura mil 29/wapinzani mshavuna 800.ongereni sana,ni atua mojawapo.
 
Tumia akili wewe..ethiopia ni inchi yenye miundo mbinu kutuzidi wanamidege mikubwa ila wananchi wake wanaongoza kuvamia nchi za watu.....

Baba kutowapa chakula watoto wako hawavai just because una repea nyumba kununua vitu vya anasa huu nao ni upuuzi wa hali ya juu
Hata New York machokoraa wapo.
CityLab University: Understanding Homelessness in America

No government will bring bread onto your tables! Ever!!! Kazi ndio msingi wa maendeleo. Maendeleo hayataki siasa. Kwa hiyo tuache kujenga miundombinu kwa sababu wewe huna kibaba cha unga nyumbani!?. Je, serikali imekupokonya ulichotafuta. Je,umekatwa mikono!?.

Yaani hakuna umbugila kama kuilaumu serikali kwa sababu ya failures zako. Fanya kazi kwa bidii,maarifa na ubunifu pata pesa jenga maisha yako.

Serikali inajenga miundombinu kwa kodi unayolipa. Na ndivyo serikali nyingi zinavyofanya. Kulipa kodi kama kunakukwaza, go & find a tax free haven for you to live freely without contributing towards your country's economy.

Tukiwa humu na anonymous zetu tusijitoe ufahamu. Jenga hoja itakayomsaidia mwenzio.
 
Back
Top Bottom