BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hakuna makubaliano ya wenye njaa yanayodumu.. Watu 801 mnatosha kufyeka pori Kilosa mkalima pilipili heka 800 ndani ya miezi 4 hauwezi kuwa hapa tena kuwalaumu ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wampigie Hashim rungwe atawapa ubwabwa pasi kufanyakazi,800??? What a joke! Yaani hao waikatae CCM halafu hizo kura 800 wagawane wapinzani na waiondoe CCM madarakani?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mimi ni graduate, ntamchagua MaguMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Wahanga wa ajira,muda Ni huu.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Haupo sahihi mkuu. Hizo pesa ni kodi za watanzania. Tumia vizuri ubongo wako mkuu.Hao graduates 800 waambie pia wanakunya kwa sababu ya magufuli kupitia mishahara anayowalipa wazazi wao wakiwemo waalimu.
Umefanya kazi nzuri mimi japo sio wengi sana nina 100 wa kwangu tayari kazi nimeshamaliza ya uhakikaMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Hizo hizo 800 wewe zinakuuma nini.Ndio Mana unasota,ukashindwa kutumia elimu yako inasubiri ajira.wapiga Kura tupo milioni 12,wewe ndio kwanza una watu 800 ambao huna uhakika nao
Sana tena kuna vijana eti wamemalzia vyuo na madegree. Lazima wapimwe uwezo wao wa kufikiri. Wanazidiwa na wajumbe.Graduate atayeichagua tena fisiemu ni kilaza wa kimataifa.
Majizi si maccm au majizi yapiMtu ambaye anajielewa hawezi kuipigia kura Chadema , Chadema inapendwa na majizi tu ,Mambumbumbu.
Thubutu sio mwaka huu.CCM itashinda kwa kishindo
Haya mawazo ni mazuri lakn mtaji. Watu ni wabunge Miaka 10 lakn hawawez kujiajirimkiacha kuitazama ccm na mkajitazama nyie kama nyie uwezo wenu na elimu yenu baada ya miaka kadhaa mtatafutwa na kunyenyekewa na watu zaidi ya 800... kisa mnatoa ajira
Kura ni siri ya mtu.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Mishahara ni kodi za wananchi wewe pumbavu!Hao graduates 800 waambie pia wanakunya kwa sababu ya magufuli kupitia mishahara anayowalipa wazazi wao wakiwemo waalimu.