Uchaguzi 2020 Nishahamasisha wahitimu 800 tuliokosa ajira tuikatae CCM kwa nguvu zote

Uchaguzi 2020 Nishahamasisha wahitimu 800 tuliokosa ajira tuikatae CCM kwa nguvu zote

Hakuna makubaliano ya wenye njaa yanayodumu.. Watu 801 mnatosha kufyeka pori Kilosa mkalima pilipili heka 800 ndani ya miezi 4 hauwezi kuwa hapa tena kuwalaumu ccm.
 
Usifanye maamuzi ya jaziba! Unaweza kuwa kweli umechukizwa na kukosa ajira ila majaribio yako yakakuangamiza jumla.
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Mimi ni graduate, ntamchagua Magu
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Wahanga wa ajira,muda Ni huu.
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Umefanya kazi nzuri mimi japo sio wengi sana nina 100 wa kwangu tayari kazi nimeshamaliza ya uhakika
 
Ata mkiungana na matichaz plus graduate wote tz nzima walio kosa kazi kuitoa CCM kwa kura za kwenye sanduku ni kuota mchana kweupe, we jiandae kisaikologia uko nae hadi 2025.
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Kura ni siri ya mtu.
 
Duh hali ni mbaya sana,kwa uandishi wako hata tukikupa nchi ww utakimbilia uhamishoni tuu.
Maana hao 800 uliohamasisha nadhani hujui kama watapiga kura ama laa.
Kuwa makini sana na wabongo,utahisi wako na ww kipindi cha uhamasishaji ngoja sasa siku ya tukiooo eeeeehhh si unakumbuka yule dada walichomfanyaaa watu waliishia kuandamana mitandaoni na vizuia mabomu vya machozi pipo walitengeneza na kufundishana namna ya kuvitumia sasa ww kaa hapo unalialia ukisubiri uitwe kwenye usaili ili uajiriwe.
Amka dogo acha kulia lia,hata hao walioko madarakani walipambana.
 
Back
Top Bottom