Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma hujaelimika,wewe ni hasara kwa taifa,bora wazazi wako fedha wangenywea tungi tuMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash. Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Hao graduates 800 waambie pia wanakunya kwa sababu ya magufuli kupitia mishahara anayowalipa wazazi wao wakiwemo waalimu.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
CCM ITASHINDWA KWA KISHINDOCCM itashinda kwa kishindo
nakukumbusha kwamba, wapiga kura tupo Mil 29Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Kwa wiziCCM itashinda kwa kishindo
We jamaa utafungwa, time imesema wapiga kura milioni 29 wewe unasema 12... All in all ccm sitaipigia kula labda kama shule nilienda kutembea.Ndio Mana unasota,ukashindwa kutumia elimu yako inasubiri ajira.wapiga Kura tupo milioni 12,wewe ndio kwanza una watu 800 ambao huna uhakika nao
Wanaishi ufipaMajizi si ñdo wale mwenyekiti wenu alisema wamekimbilia CDM na baada ya muda wakarudi CCM? hahaaa
Labda kwa wizi na ubabeCCM itashinda kwa kishindo
Kabisa kama kuna graduate ataichagua ccm basu huyo hajitambui.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Huwa nawaasa wadogo zangu kama ulivyonena hapa wananiangalia wanasema 'anasema nini huyu'. Hata CUF wakichukua dola mleta sledi asidhani kama watakuja na mkate mezani kwake. Life is how you make it. Huwa nawaambia Maisha sio Siasa. Mwanasiasa nae anatafuta ajira muda huu.mkiacha kuitazama ccm na mkajitazama nyie kama nyie uwezo wenu na elimu yenu baada ya miaka kadhaa mtatafutwa na kunyenyekewa na watu zaidi ya 800... kisa mnatoa ajira
Mkuu samahani umesomea nn...Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Graduate unalalamika huna kazi shame on you Badala ya kuhamasisha wenzio mujiajiri unafanya ujingaMpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Wewe furahisha jukwaa tu huna lolote. JPM hana mpinzani.Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.
Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.
Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.