Hata New York machokoraa wapo.
CityLab University: Understanding Homelessness in America
No government will bring bread onto your tables! Ever!!! Kazi ndio msingi wa maendeleo. Maendeleo hayataki siasa. Kwa hiyo tuache kujenga miundombinu kwa sababu wewe huna kibaba cha unga nyumbani!?. Je, serikali imekupokonya ulichotafuta. Je,umekatwa mikono!?.
Yaani hakuna umbugila kama kuilaumu serikali kwa sababu ya failures zako. Fanya kazi kwa bidii,maarifa na ubunifu pata pesa jenga maisha yako.
Serikali inajenga miundombinu kwa kodi unayolipa. Na ndivyo serikali nyingi zinavyofanya. Kulipa kodi kama kunakukwaza, go & find a tax free haven for you to live freely without contributing towards your country's economy.
Tukiwa humu na anonymous zetu tusijitoe ufahamu. Jenga hoja itakayomsaidia mwenzio.
We bado hujitambui wenzako wanalipwa we naona unabwabwaja