Uchaguzi 2020 Nishahamasisha wahitimu 800 tuliokosa ajira tuikatae CCM kwa nguvu zote

Uchaguzi 2020 Nishahamasisha wahitimu 800 tuliokosa ajira tuikatae CCM kwa nguvu zote

Hata New York machokoraa wapo.
CityLab University: Understanding Homelessness in America

No government will bring bread onto your tables! Ever!!! Kazi ndio msingi wa maendeleo. Maendeleo hayataki siasa. Kwa hiyo tuache kujenga miundombinu kwa sababu wewe huna kibaba cha unga nyumbani!?. Je, serikali imekupokonya ulichotafuta. Je,umekatwa mikono!?.

Yaani hakuna umbugila kama kuilaumu serikali kwa sababu ya failures zako. Fanya kazi kwa bidii,maarifa na ubunifu pata pesa jenga maisha yako.

Serikali inajenga miundombinu kwa kodi unayolipa. Na ndivyo serikali nyingi zinavyofanya. Kulipa kodi kama kunakukwaza, go & find a tax free haven for you to live freely without contributing towards your country's economy.

Tukiwa humu na anonymous zetu tusijitoe ufahamu. Jenga hoja itakayomsaidia mwenzio.

We bado hujitambui wenzako wanalipwa we naona unabwabwaja
 
Mtu ambaye anajielewa hawezi kuipigia kura Chadema , Chadema inapendwa na majizi tu ,Mambumbumbu.
Chadema wameiba nini? Wana nini wao cha kuiba?
Kama hujui aliyeifisadi nchi mpaka imefika hapa ilipo leo hii ni nani basi una upumbavu na ujinga wa kiwango cha shetani kichwani mwako.
Majizi, majambazi, mafisadi yote yapo ccm, chama kinanuka kila aina ya wizi, ufisadi, kila aina ya sifa mbaya
 
Wapumbavu bado mpo wengi, unataka ajiajir umempa mtaji??
Umemtengenezea masoko ya kuuzia bidhaa zake mfano mazao ya kilimo??

Mnatia kinyaa kabisa pumbav.

Bora mngenunua ndege za mizigo ili ziwe zinapeleka njegere na viazi ulaya badala yake mmeyapaki yanabeba wasafir wa kutoka Mbeya to Dar kwa mwezi yanawaka mara 1.??[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]

Mashetani nyie.

Bora hiki kizazi kifutwe kianze kipya maana kimejaa upendeleo na wachache ndo wanafaidi.
Duh.. mbona lugha Kali hivyo!? Anyways, ukiona mtu ana degree kutoka Taasisi ya elimu ya juu na anasubiria serikali impe Ajira mpe pole... Hakuna mtaji Mkubwa Dunia hii kuliko elimu tena ya juu...
 
Nashauri hizo nguvu na organisation skills unazotumia kuwahamasisha wenzio ungezitumia kuwashauri mkae pamoja na mbuni mbinu za kuwainua kiuchumi, surely katika degree 800 Nina uhakika hamtakosa vichwa 8 (1%) ambao watakuja na brilliant idea itakayowaletea fursa nyie 792. Umoja ni Nguvu.
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
ubarikiwe Sana ,na mm naanza leo hili zoezi
 
We bado hujitambui wenzako wanalipwa we naona unabwabwaja
Hupendi kuambiwa ukweli kijana mi silipwi na mtu yeyote na hakuna anaeweza kunilipa mimi kwa kutrade politics humu.

I'm non-partisan in whatever comment that I scribe in this platform - mi nakupa ukweli tu...and I'm writing this at the comfort of my office as a self made CEO. We kalaga baho unabishana humu ukipewa ukweli unalialia.

Ukiwa masikini usi-trade lawama kwa mtu yeyote hata wazazi wako hawahusiki na kufeli kwako. Mwenyezi Mungu kakupa rasilimali zote unazohitaji ili kuendeleza maisha yako.

MAISHA SIO SIASA. MAISHA NI HALISI.
 
Utapata vipi Ajira na wakati kuandika kwenyewe unafanya Kwa papara na Una elimu ya juu.. inaelekea wewe sio mtulivu, Waingereza MTU kama wewe wanamwita Careless..pia shame on you na wenzako ambao mmepatiwa elimu ya juu na bado mnalialia kutafutiwa Ajira...nyinyi wasomi ndio mnaotakiwa kutengeneza Ajira ili nchi ifaidike na ubunifu wa akili zenu na sio the other way around.
utakuta mjinga kama wewe uko kwenye ajira ndio maana unaharisha hapa
 
Nina wasiwasi kama wewe ni graduate kweli. Hao 800 labda mngekuwa mko kwenye kata moja mumkatae Diwani. Ila hata kama mko jimbo moja kumuangusha tu mbunge ni kazi. Sasa kwa kuwa mmetawanyika nchi nzima effect yenu ni negligible. Magufuli kura zake mwaka huu ni 4,000,000 hadi 5,000,000 kwa hiyo toa hizo 800 na ndugu zao hata 100,000
 
Mtu ambaye anajielewa hawezi kuipigia kura Chadema , Chadema inapendwa na majizi tu ,Mambumbumbu.
Anaejielewa hawezi kuipigia ccm maana inasapot ushoga na hili lilionekana makonda alipoanza kupambana gafla magufuli na maige aliekufa wakamkana
 
utakuta mjinga kama wewe uko kwenye ajira ndio maana unaharisha hapa
Yaani nyie vijana nawashangaa Sana..mna degree za fast tracking ambazo hazifanyi bongo zenu kuchemka, hamna Ajira, na mbaya zaidi mna attitude (tabia) chafu sijawahi ona..Nani ataajiri MTU ambaye Hana lugha ya staha na hapendi kushauriwa?... unethical behaviour+poor education arrogance inawa let down Sana.
 
Utapata vipi Ajira na wakati kuandika kwenyewe unafanya Kwa papara na Una elimu ya juu.. inaelekea wewe sio mtulivu, Waingereza MTU kama wewe wanamwita Careless..pia shame on you na wenzako ambao mmepatiwa elimu ya juu na bado mnalialia kutafutiwa Ajira...nyinyi wasomi ndio mnaotakiwa kutengeneza Ajira ili nchi ifaidike na ubunifu wa akili zenu na sio the other way around.
Wasomi wenye digirii nne nne kama mwakyembe sio??
 
mkiacha kuitazama ccm na mkajitazama nyie kama nyie uwezo wenu na elimu yenu baada ya miaka kadhaa mtatafutwa na kunyenyekewa na watu zaidi ya 800... kisa mnatoa ajira
Hayo yatafanyika baada ya kumaliza uchaguzi Kwanza tuangalie la oktoba
 
Hupendi kuambiwa ukweli kijana mi silipwi na mtu yeyote na hakuna anaeweza kunilipa mimi kwa kutrade politics humu.

I'm non-partisan in whatever comment that I scribe in this platform - mi nakupa ukweli tu...and I'm writing this at the comfort of my office as a self made CEO. We kalaga baho unabishana humu ukipewa ukweli unalialia.

Ukiwa masikini usi-trade lawama kwa mtu yeyote hata wazazi wako hawahusiki na kufeli kwako. Mwenyezi Mungu kakupa rasilimali zote unazohitaji ili kuendeleza maisha yako.

MAISHA SIO SIASA. MAISHA NI HALISI.

Hayo ni mawazo yako finyu binti
 
Mpaka sasa nisha hamasidha Graduate 800 na bado naendelea kuhamasisha haiwezekani tukose ajira huku Serikali inajitapa ina pesa, imenunua ndege kwa cash.

Mimi narafiki zangu tunaendela na zoezi na natoa wito kwa Gradute wanao sota mtaani waikatae CCM na si wao tu bali wahamasishe hata ndugu zao nao waikatae CCM, tuikatae hii chama tuwakatae madiwani wao na tuwakatae wabunge pia.

Tuwache ujinga wa kutumiwa kama daraja, muda ni huu.
Chuoni ulienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom