Ndio maana nikasema mwanaume ndiye anayeamua nani wa kufanya naye maisha, usijidanganye eti kuna njia ya kuuwin moyo wake tena ukijirahisisha hivyo utatombeka sana.
Achana na sisi wanaume kwa unafiki unaweza kusema umempata kumbe anakutumia tu
Mungu atapangaje na wakati tayari mmeamua kufanya dhambi ya uasharati kabla ya ndoa na yeye hafagilii hizo mambo
Umetombw bila kutongozwa alafu unasema et mav mav! Huyo hata akikuomba Kisamvu inaonekana uko radhi kumpa 100%✓
Usifikirie swala la mahusiano kisa mmekunjana mara mbili tatu just enjoy tu kile kilichopo sasa hivi,kama ni mambo yatajipa badae basi itakuwa vizuri sana.
1. Usikae nae ghetto moja.
2. Kama kwenda kwake iwe weekend tu
3. Usimkataze kubet, kuangalia mpira wala kunywa pombe
4. Usimwambie simpendi rafiki yako x au y wala z ata kama marafiki zake wanaonekana walevi muache kama ulivomkuta
5. Msapoti husstle zake mfano kimawazo
6. Akikupa siku hela, mfano elfu 50, atleast 20k mnunulie ata t-shirt au jeans au boxer ata mkanda
7. Usimlazimishe kwenda kanisani, au kwenye mikesha, just mshawishi akikubali nenda nae.
8. Usimfananishe na michepuko yako ya zamani.
9. Usimtambulishe kwa marafiki zako
Ila bhana mapenzi hayana formula unaweza mpenda yeyote popote
Hujanielewa mkuu. Sio kwamba wanaovitoa nje wote wako in love. Kuvitoa nje na kufall in love ni tofauti
Pambania kombe mamaaNdio ukweli
Kila mtu anaachwa..tatizo wewe kiherehere chako cha kujitangaza.
Tafuta ufumbuzi wa hilo mkuu, ni tatizo kwako hasa kama huna ndoa.
Una safari ndefu, jiwekee uadimu kidogo kwenye hilo. Me anachotaka kwa Ke ni mbunye, na wewe mbunye ndo hiyo unaipeleka mpaka mwamba anasema upunguze speed [emoji3][emoji3], sio nzuri kitaalamu hiyo.
Pole
Lakini humu utajipoteza fuata moyo wako lakini usiisahau akili
mmekulana au umeliwa hapo kuna mlaji na mkiwaji, ukisema mmekulana kuna ukakasi hapo alikula na wewe ukamlaHabari
Niwe muwazi mimi nishamuelewa huyu Kijana.. mwanzo nilihisi upwiru tu nikamtamani ila Sasa najihisi kumpenda..
Tumeshakulana zaidi ya mara moja na namuhitaji zaidi..
Sasa niwaambie ukweli huyu bro hajanitamkia kama anahitaji mahusiano na mimi kama vile tulivyozoea namna ya utongozaji wa mwanaume kwa mwanamke
Ni ile tu ananichombeza chombeza maneno mazuri mazuri na amefanikiwa kuniteka hisia zangu mpk tukaishia kukulana (Sijutii maana na mimi nilikuwa na hamu zangu)
Kilichonileta hapa nataka ushaurii haswa kwa wanaume ni kwa namna gani huyu mwanaume nitampata yaani ikiwezekana awe wangu najua atakuwa ana mahusiano yake labda seriously but mimi hilo halina shida kikubwa ni kuwa hajaoa na kama mtu hajaoa ni kama yuko single
Jamani mwanaume ambae yuko single Hakuna kila mtu yuko na mtu haijalishi ni mahusiano seriously au yakuzuga sasa mimi nimuache huyu kwasababu zipi wakati hajanitamkia kuwa ana mtu na hajaoa( hii ni 100%) kwasababu nimeshafanya ujasusi wangu hana mke Kijana
Sasa mimi nataka kulipambania hili husiano ikiwezekana liwe husiano kwelikweli uzuri ni kuwa ninampenda so sidhani kama nita mtreat vibaya….
Sijamtamkia kuwa nampenda lakini matendo nazani kashaelewa..
Nishaurini namna ya kufanya ili niendelee kumuweka upande wangu au niendelee na maisha yangu
Nb: Sijawahi kumlilia shida hata siku moja yaani sijawah kuzungumza maswala ya kuombaomba hela hata tukionana huwa natumia nauli yangu kumfuata.
Yeye ndio hunipa muda wa kuondoka anasema nitaongezea nauli… suala la hela sio tatizo kwangu kwa kuwa nishampenda
Si umetuambia muda c mrefu hapo juu. Ushasahau?[emoji1787] asa jmn nimemtangazia nani tena
mmekulana au umeliwa hapo kuna mlaji na mkiwaji, ukisema mmekulana kuna ukakasi hapo alikula na wewe ukamla
Usilazimishe mambo,mwaache yeye ndo aongoze njia,ukiona yupo kimya muulize,lakin usilazimishe kuwa nae
Si umetuambia muda c mrefu hapo juu. Ushasahau?