Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Kumuuliza mtu kwanini yupo kimya ni kipengele
kAma huwez tulia kimya ukimpa muda,ukiona kimya kimzidi jitoe uendelee na safar yako au kama umekolea zaidi basi mnaendelea kukulana tu hvyo hvyo bila ndoa
 
Asante kwa kunipemda, ila sipendi kubanwa banwa, na kufuatiliwa kila saa kama gari la patrol
Tuendelee kuwa hivihivi, ila sasa usiniforce kuhusu future, hatma tuyajua huko mbeleni

Mimi Pia sipendii hayo
 
Duh aisee wewe unafaa kuwa wife material au girlfriend wa ukweli kama si omba omba wa mjini. I hate mademu wanaojifanya wao ni zaidi ya wagogo kwa kuomba. Ifike mahala wanaume wote tuwapige vita wanawake wapiga mizinga wabaki peke yao wakikulana.
 
Binti nikuambie kitu sasa hivi nipo serious hapo juu nilikua natania, naongea kwa upande wangu mwanamke anaenivutia ni yule mwenye heshima kwangu, pili usipende kutafuta sana huyo boyfriend wake mda mwingine ujicheleweshe kujibu message, pia sio kila akitaka akukule uwe mwepesi kwenda siku ziingine ujifanye upo bussy, ila muhimu ya yote muoneshe heshima ila usijivunjie utu wako nakuambia hiyo mbinu itamfanya zaidi kukupenda naongea kwakua nimeachana na wanawake wengi kisa hicho
 

Sawa captain
 
Duh aisee wewe unafaa kuwa wife material au girlfriend wa ukweli kama si omba omba wa mjini. I hate mademu wanaojifanya wao ni zaidi ya wagogo kwa kuomba. Ifike mahala wanaume wote tuwapige vita wanawake wapiga mizinga wabaki peke yao wakikulana.

Mkuu mimi huwa naomba hela Kama simtaki yaani simpendi Sina future nae mwanzoni tu lazima niombe hela

Ila ikitokea nimekuelewa navuta subra kwanza utatoa mwenyewe tu hata situmii nguvu

Nimekuibia Siri hiyo
 
Asikukulekule, mwambia nataka niwe na kwangu, nataka niwe huru wa kuchimbwa mgodi tena nitakuachia yote ukae nayo hata ukitaka kwenda nayoyo fcn nenda nayo
 
Mwa
Muulize mix by Yas unatumia?
Na vip kinoa na balimi? Akisema ndio natumia... Ondoa matumaini Fanya mambo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…