Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Nishampenda nipeni njia ya kudumu nae

Asikukulekule, mwambia nataka niwe na kwangu, nataka niwe huru wa kuchimbwa mgodi tena nitakuachia yote ukae nayo hata ukitaka kwenda nayoyo fcn nenda nayo

Bado anajitafuta bado muda wa yeye kuoa
 
Kumbe hutaki ushauri basi endekea kumwachia tena yote

Mkuu utamwambiaje mtu akuoe na wakati hamna mahusiano ya kueleweka na mtu bado anapambana kutengeneza future halafu mimi nilete habari za ndoa

Angalau penzi linoge haya mambo ya ndoa yatajitengeneza yenyewe
 
Mkuu utamwambiaje mtu akuoe na wakati hamna mahusiano ya kueleweka na mtu bado anapambana kutengeneza future halafu mimi nilete habari za ndoa

Angalau penzi linoge haya mambo ya ndoa yatajitengeneza yenyewe
Hapa ameomba ushauri kumbe unataka penzi linoge basi endelea kuishi kwa matumaini kumbuka hapa kumbe kuna watu wrnye akili kukuzidi wewe kwa maelezo yako kumbe una upwiru endelevu ambao umepata mkunaji
 
Mimi sijawahi pedwa hivi na mwanamke. alinitogoza ndugu ambaye ni pic kal nikampa haki yake. Ndipo nikaaza kujua ukipedwa sana na mwanamke ni karaha. Usiombe ikupate ni usumbufu hadi kero
 
Mimi sijawahi pedwa hivi na mwanamke. alinitogoza ndugu ambaye ni pic kal nikampa haki yake. Ndipo nikaaza kujua ukipedwa sana na mwanamke ni karaha. Usiombe ikupate ni usumbufu hadi kero
Hongera mimi sija bahatika
 
Hapa ameomba ushauri kumbe unataka penzi linoge basi endelea kuishi kwa matumaini kumbuka hapa kumbe kuna watu wrnye akili kukuzidi wewe kwa maelezo yako kumbe una upwiru endelevu ambao umepata mkunaji

Daah hatuelewani mkuu sio kila mwanaume unapokutana nae basi atakuoa hapohapo mimi mwenyewe naendelea kumuangalia kama atafaa kuwa mume maisha mafupi ndoa zetu ni mpk kifo sitaki niolewe halafu niachike

Hujauliza umri wake na kama anafanya kazi kama je ni mwanafunzi atanioa vipi mkuu
 
k
Daah hatuelewani mkuu sio kila mwanaume unapokutana nae basi atakuoa hapohapo mimi mwenyewe naendelea kumuangalia kama atafaa kuwa mume maisha mafupi ndoa zetu ni mpk kifo sitaki niolewe halafu niachike

Hujauliza umri wake na kama anafanya kazi kama je ni mwanafunzi atanioa vipi mkuu
Kumbe una maswali mazuri ambayo una niuliza mimi ambaye cjui kama una bwawa la mindu ama j" k' puya
Kama una hizo sifa mbili huwezi kuolewa
 
Mimi sijawahi pedwa hivi na mwanamke. alinitogoza ndugu ambaye ni pic kal nikampa haki yake. Ndipo nikaaza kujua ukipedwa sana na mwanamke ni karaha. Usiombe ikupate ni usumbufu hadi kero

Mimi sio msumbufu mkuu mimi ni kama sipo hivi siwezi kuforce mtu na naenda na biti namna ulivyo tunaenda hivyo

Yaani ukiniignore nakuignore mara 10.. nilishaambiwa nakiburi cha uzima ila sio kweli yaani kile unachonifanyia basi subiri kupokea unayoyapanda hata nikupende vipi
 
Back
Top Bottom