Nishati Safi ya Kupikia: Badala ya Kugawa Mitungi ya Gesi, Kwanini tusigawe induction Cookers

Nishati Safi ya Kupikia: Badala ya Kugawa Mitungi ya Gesi, Kwanini tusigawe induction Cookers

My experience na hiyo induction cooker:
1. Inahitaji sufiria maalumu
2. Inachukua muda kuivisha
3. Inatumia umeme mwingi kuliko inavyosemekana
4. Umeme ulikatika, hamna kupika
5. Ilidumu kwa siku 20, then ikapiga shoti

Nisiwe too conclusive lakini, inawezekana the brand niliyokuwa natumia ndiyo ilikuwa na changamoto. After that first experience with induction cookers, it left a bad impression nikarudi kutumia gas.
Huwa nahis life span yake ni ndogo ndo maana hayajasambazwa sana
 
Unaweza wewe kufanya hivyo
Unamaanisha mimi kama Private person kuanza kuleta haya majiko ? Yes maybe.., lakini bila nguvu ya Tanesco kuhakikisha umeme unapatikana bila shida wala bila kufanya faulo ya kuanza kuzima umeme kwa makusudi sometimes ili wauze majenereta, (if JPM is to be believed)...

Kwahio hii kitu ili uweze kupata economy of scale huenda ukinunua majiko laki moja hata ukafanyiwa bei ya dollar 5, kwahio Taasisi yenye pesa ya kuweza kufanya hivyo na kuhakikisha umeme haukatiki na unapatikana ni TANESCO
 
Huwa nahis life span yake ni ndogo ndo maana hayajasambazwa sana
Hayajasambazwa sana sababu ya bei (ingawa wahitaji wakiwa wengi bei zitashuka i.e. Economy of Scale), pili ni teknolojia mpya kulinganisha na nyingine zilizozoeleka hivyo watu wengi hawajui. Tena ukiongelea lifespan hivyo vimitungi ukipikia muda tu hicho ki burner kinaanza kuziba hivyo elfu kumi mpaka kumi na tano inakuhusu...
 
Wastage of time, bila vipato vya watu kukua bado mamilioni ya watu hawataweza kutumia iwe hiyo induction cooker au gesi. Hata uwape majiko kumi bado hawataweza kumudu gharama za matumizi. Ni sawa na umpe gari jobless, atakua na gari Ila mafuta kuweka atembelee ndio haitawezekana
Watu lazima wale na nishati sio choice bali ni lazima..., sasa option kwa wasio na kipato ambao kwa sasa wanatumia Kuni wakipata knowledge na kugundua kwamba hili jiko lina ufanisi kuliko kuokoteleza kuni siku nzima au wanaweza wakapika hata bure kwa kuuza solar kama credit.....



Na wale ambao sasa hivi wanatumia gesi kwa kutoa elfu ishirini na tano mpaka sitini ku refill gesi pesa hio wanaweza wakaongezea kwenye manunuzi ya nyama hivyo kuongeza afya zao na sio kukusa afya ya kipato cha wauza gesi kutokea ughaibuni...
 
Watu lazima wale na nishati sio choice bali ni lazima..., sasa option kwa wasio na kipato ambao kwa sasa wanatumia Kuni wakipata knowledge na kugundua kwamba hili jiko lina ufanisi kuliko kuokoteleza kuni siku nzima au wanaweza wakapika hata bure kwa kuuza solar kama credit.....



Na wale ambao sasa hivi wanatumia gesi kwa kutoa elfu ishirini na tano mpaka sitini ku refill gesi pesa hio wanaweza wakaongezea kwenye manunuzi ya nyama hivyo kuongeza afya zao na sio kukusa afya ya kipato cha wauza gesi kutokea ughaibuni...
Unaongea na kuandika kutokea hewani huenda haujui maisha ya mtaani na huko vijijini yalivyo
Tuliza wenge. Mkurya aliyepo rorya akigeuka tu uwani kuna kuni mfukoni Hana hata shillingi umwambie atumie umeme au gesi kupikia, nyumba tu kashindwa kuweka bati leo ndio umletee jiko la umeme
 
Unaongea na kuandika kutokea hewani huenda haujui maisha ya mtaani na huko vijijini yalivyo
Tuliza wenge. Mkurya aliyepo rorya akigeuka tu uwani kuna kuni mfukoni Hana hata shillingi umwambie atumie umeme au gesi kupikia, nyumba tu kashindwa kuweka bati leo ndio umletee jiko la umeme
Aisee hebu rudia kusoma yote niliyoandika alafu urudi kusoma ulichoandika utaona kwamba unachoandika hakina nafasi kabisa kwa nayosema...

Hivi sijasema hapo juu kwamba watu vijijini wanapikia kwa kutokutoa hata senti moja ya fedha (bila gharama ya pesa) kwahio nikasema watu hawa kama utawapa kitu ambacho kwao hakitahitaji pesa sababu watapata credit ya kuvuna jua (vuna nishati sio kuni) huenda itakuwa rahisi kwao kuacha kuhitaji kutumia kodi.., Hilo ni moja mbili kutokana kwamba watu wanaongezeka vijijini kuna urbanisation of villages kwahio hata upatikanaji wa hizo kuni sio rahisi kama mwanzo...

 
Aisee hebu rudia kusoma yote niliyoandika alafu urudi kusoma ulichoandika utaona kwamba unachoandika hakina nafasi kabisa kwa nayosema...

Hivi sijasema hapo juu kwamba watu vijijini wanapikia kwa kutokutoa hata senti moja ya fedha (bila gharama ya pesa) kwahio nikasema watu hawa kama utawapa kitu ambacho kwao hakitahitaji pesa sababu watapata credit ya kuvuna jua (vuna nishati sio kuni) huenda itakuwa rahisi kwao kuacha kuhitaji kutumia kodi.., Hilo ni moja mbili kutokana kwamba watu wanaongezeka vijijini kuna urbanisation of villages kwahio hata upatikanaji wa hizo kuni sio rahisi kama mwanzo...

Huenda hata huko vijijini hujawahi kufika. Hilo jua la kupikia ule ugali wa watu 7 linatoka wapi? Ushawahi kuona wakipika?

Watu kuongezeka na upatikanaji wa kuni kuwa mgumu hiyo wala sio solution ya wao kuwa na pesa ya kujaza gesi au kutumia umeme kupikia. Hapo ulipo zunguka tu kwa ndugu zako wenye familia kubwa, zunguka kwa marafiki alafu waulize kwa nini hawatumii gesi na umeme pekee kupikia.
 
Yes sababu induction inavyofanya kazi ni kupitisha umeme (alternating current) hivyo kutengeneza eddy currents kwenye sufuria ambazo zinatengeneza joto (kwahio sufuria lolote ambalo ni magnetic linafanya kazi)

Hapana hakuna kitu kinachoivisha kwa haraka (kupata joto instantly kama induction cooker), kwahio ukiweka temperature unayotaka unaipata instantly (hakuna device nyingine yoyote inayoweza kufanya hivyo) ingawa ukitaka ichukue muda ofcourse unaweza ukaweka temprature ndogo (kwahio inafanya kazi in all ranges of temperature


Capacity Power ya kitu ni Watts; mfano birika lako la kuchemshia maji linaweza kuwa 1500watts lakini likachukua sekunde kuchemsha maji wakati jiko lako linaweza likawa 100watts likachukua saa kuchemsha maji yaleyale..., kwahio mwisho wa siku umeme ukawa uleule..., Hapo juu mfano hio Induction cooker ina capacity ya 2000watts lakini huenda kupika kwako mchicha ukatumia 100 watts na uzuri zaidi wa kufanya hii kitu iwe na ufanisi wa mpaka 90 percent ni kwamba nishati haipotei, wakati wewe ukiwasha gesi yako kuna nishati inapotea kwa kuchemsha hewa kabla ya kuchemsha hio aluminium induction cooker ni magnetic hence inapiga kwenye chombo unachopikia pekee na ukizima joto linapotea instantly no wastage....

Hapa sijakuelewa kabisa.., ni sawasawa unasema mafuta yakiisha au gesi yako ikiisha hakuna kupika sababu hauna elfu 25,000 ya kujaza mtungi wako ? In short this is mute point..., badala ya kulaumu induction cooker kwa umeme kukatika labda ifike wakati tulaumu shirika kwa kukosa ufanisi (In short badala ya kulaumu tuhakikishe Tanesco inakuwa bora) Point yako ni kama unasema tuache kununua mashine za operation hospitali sababu zinatumie umeme na umeme unaweza kukatika

Kwanini ilipiga shoti (nadhani pa kuanzia ni hapo)

Tena kwa kusema kwako kwamba ilikuwa inatumia muda kupika huenda hata haikuwa induction cooker

Nilitaka nisinunue Induction cooker baada ya kusoma comment ya jamaa ila wewe ndo umenisanua vyema kwa hoja, Sasa ntaenda kununua.
 
Huenda hata huko vijijini hujawahi kufika. Hilo jua la kupikia ule ugali wa watu 7 linatoka wapi? Ushawahi kuona wakipika?
Aisee ndio maana nakwambia unachokiongelea unaongea bila kujua mimi nimesema nini kwahio hata unachodhani unajibu wala sicho... Ni ngumu sana mtu kupikia kwa solar (unless anatumia mwanga wa jua kuoka mikate au keki) ila sio feasible kuchukua umeme wa solar dc na kuweka kwenye battery ukiabadilisha tena to ac uta drain battery kwa dakika (hio sio feasible) Point yangu ni kwamba huyu mkulima atakachoinvest au kupewa kwa ruzuku ni solar panels kama mbili mpaka nne (nishati yote atakayovuna wala hataitunza yeye itakuwa converted to AC na kupelekwa kwenye GRID huyu mtu akiwa na NET metering itaonyesha kwamba amewapa / wauzia tanesco units kadhaa lets say units tatu kwa siku au nane kwa siku..., Huyu mtu akiwa na jiko lenye ufanisi huenda matumizi yake yasiwe hata units sita kwa siku hivyo hata siku ambazo hazina jua anaweza kuendelea kupikia umeme kutoka TANESCO kutumia credit zake ambazo alikuwa anawazalishia TANESCO..,, hivyo badala ya kutafuta muwekezaji kutoka nje kina DOWANS huyu mwanakijiji atakuwa mzalishaji na mtumiaji wa umeme
Watu kuongezeka na upatikanaji wa kuni kuwa mgumu hiyo wala sio solution ya wao kuwa na pesa ya kujaza gesi au kutumia umeme kupikia.
Ukisoma hapo juu nadhani utapata jibu la hapa kukosena kwa kuni ni kwamba lazima wale sawa wanapikia nini ndio ujiulize mimi kuna watu kijijini zamani walikuwa wanapikia kuni za kuokota ukota wala haikuwa shida sasa kutokana kwamba wameongezeka hawezi kwenda shamba la mtu, wengine mpaka ndugu zao wanawaletea magunia ya mkaa (which is still cheaper ingawa kutokana kwamba mikaa itapigwa marufuku na kuwa magendo huende hii nishati ikawa haipatikani au ukiipata sio kwa gharama ndogo) na kama unanunua mkaa, mkaa huu utakuwa more expensive kuliko umeme ambao kwa sasa ni Tshs 100/= per unit the only gap ni kuwa na kifaa chenye ufanisi (ambavyo kwa sasa vipo) achana na induction cooker sasa hivi kuna slow cookers ambazo zinatumia 100watts yaani zile taa za nje za zamani watu waliokuwa wanawasha usiku mzima leo huu unapikia mlo wako na kula
Hapo ulipo zunguka tu kwa ndugu zako wenye familia kubwa, zunguka kwa marafiki alafu waulize kwa nini hawatumii gesi na umeme pekee kupikia.
Mbona hilo jibu lipo wazi gesi ni gharama and I have been saying this kwa sasa zaidi ya mwaka..., mbili wengine ni kutokujua na wengine hawana vifaa vyenye ufanisi..., vilevile gharama ya umeme ambayo kwa sasa ni Tshs 292 kwa unit na kwa vijijini ni 100/= kwa unit bado ni gharama kubwa na haiingii akilini kama Baada ya Bwawa la Nyerere kukamilika kwanini gharama ya units isishuke hata kufikia Tshs 20/= kwa unit..., ila hata bila hayo bado watu wanaweza kupikia wa Tshs 0/= kwa kuingia mfumo wa Net Metering
 
Viongozi ni wachache wananchi ndio wengi, kwahio viongozi wanatumia propaganda na kutokujua kwa wananchi ili kuweza kufanya na kupitisha mambo yao..., hivyo nachofanya ni kujaribu kuweka wazi nini ni nini..., mfano watu wengi wadhani yafuatayo:
  1. Gesi ina gharama nafuu kuliko umeme
  2. Ile Gesi ya mtwara (ambayo huenda ikawa ya kwetu) ndio hii gesi ya majumbani hence tunapohimiza matumizi ya gesi tunahimiza kutumia chetu
  3. Umeme hautoshi hivyo watu hawawezi kupikia (wakati Bwawa likiisha tutakuwa na double the capacity)
Wahindi na wachina huko yanakotoka hayo majiko ya induction walioko Tanzania wanapikia gesi

Kwa nini hawatumii hayo majiko ya induction kama ni mazuri?
 
Hayajasambazwa sana sababu ya bei (ingawa wahitaji wakiwa wengi bei zitashuka i.e. Economy of Scale), pili ni teknolojia mpya kulinganisha na nyingine zilizozoeleka hivyo watu wengi hawajui. Tena ukiongelea lifespan hivyo vimitungi ukipikia muda tu hicho ki burner kinaanza kuziba hivyo elfu kumi mpaka kumi na tano inakuhusu...
Jiko la gesi life span iko juu saba na hicho ki burner sasa viko vi burner hadi vya elfu tano wanauza machinations sio Big deal
Induction Cooker kupikia mahatage ,kande au pilau lazima uamkie shikamoo Tanesco umeme unavyoliwa
 
Wahindi na wachina huko yanakotoka hayo majiko ya induction walioko Tanzania wanapikia gesi

Kwa nini hawatumii hayo majiko ya induction kama ni mazuri?
Hapa kuna point tatu za kujibu;

Moja Je induction cooker ndio jiko lenye ufanisi kwa sasa kuliko majiko mengine jibu ni ndio.., sasa baada ya kupata hilo jibu tuangalie kwanini hayatumiki:
  1. Moja kwanza bei yake bado ni kubwa ndio maana nikashauri kwamba majiko haya yanaweza kuuzwa hata kwa bei ndogo kuliko mitungi ya gesi (kununua direct from factory na economy of scale)
  2. Mbili katika watu kutokutumia haya majiko sababu huenda zikawa nyingi moja mazoea na mbili huenda kwao gharama sio issue na tatu ni upatikanaji sasa kama gesi inapatikana ukimpigia simu bodaboda anakuletea alafu wewe pesa sio issue kwako huoni kwamba utatumia ambacho kinapatikana
  3. Kwahio sababu umeme upo na gesi tunaagiza kutoka nje itakuwa ni for the country advantage kuhakikisha umeme unapatikana kila wakati na haya majiko yapo ili tuanze kutumia chetu kuliko kutumia fedha za kigeni kuagiza gesi toka ughaibuni
 
Jiko la gesi life span iko juu saba na hicho ki burner sasa viko vi burner hadi vya elfu tano wanauza
Kwahio wewe unaona hizo buku tano ni pesa ndogo ?
The average lifespan of an induction range is 15 to 17 years, na kama hapo nilivyosema kama mtu kijijini anatumia induction cooker wakati yeye anatumia Tshs 33 kwa gharama ya matumizi ya nishati mwenye hako kajiko anatumia zaidi ya Tshs 300/= yaani zaidi ya mara tisa sasa hata gharama unazosave kwenye matumizi nadhani utakuwa umenunua majiko mengine lukuki
machinations sio Big deal
Induction Cooker kupikia mahatage ,kande au pilau lazima uamkie shikamoo Tanesco umeme unavyoliwa
Ni hivi induction cooker inapata joto kwa kasi instantly na kutokupoteza nishati kuliko aina nyingine zote za burners.., mbili hata kama sio induction cooker ukitumia pressure cooker ya umeme inaacha mbali sana hilo jiko la gesi ukizingatia bei ya unit kijijini ya umeme ni Tshs 100/= wakati ya hicho kigesi ni zaidi ya Tshs 300/=

Kwahio in short electricity wins by far...
 
Hapa kuna point tatu za kujibu;

Moja Je induction cooker ndio jiko lenye ufanisi kwa sasa kuliko majiko mengine jibu ni ndio.., sasa baada ya kupata hilo jibu tuangalie kwanini hayatumiki:
  1. Moja kwanza bei yake bado ni kubwa ndio maana nikashauri kwamba majiko haya yanaweza kuuzwa hata kwa bei ndogo kuliko mitungi ya gesi (kununua direct from factory na economy of scale)
Kanunue wewe hiyo factory price yako uje utuuzie kwa bei ndogo utajirike

Mbona bidhaa kibao zikizoko Tanzania wafanyabiashara binafsi wananunua viwandani nje ya nchi at factory price na kutuletea

Hutaki utajirike?

Nenda kanunue hizo ex factory price acha porojo humu changamkia hiyo fursa na wewe uwe bilionea kama akina Bakheresa, Mo Dewji nk huwezi tuache na gesi yetu na najiko yetu ya gesi ya kupikia

Shut up
 
Kanunue wewe hiyo factory price yako uje utuuzie kwa bei ndogo utajirike
Naanza kupata mashaka na uelewa wako ? Hadi mtu akupe factory price ni kwamba unanunua kiasi kikubwa ndio maana hata sukari au cement kuna mawakala ambao wanapewa bei ya chini ili waje kusambazia watu rejareja.., hii wala sio theory nimekupa hapo mfano wa Kiwanda Kilichopo China ambacho kina miaka zaidi ya sita kinafanya biashara ukichukua units 1000 wanakupa kwa bei ya dollar sita..., Kwahio wewe hata hio sukari unayonunua kwa Mangi 3500/= sio bei ambayo Mangi amenunua wala Mangi hana uwezo wa kuchukua directly from factory (mtaji huo hana)
Mbona bidhaa kibao zikizoko Tanzania wafanyabiashara binafsi wananunua viwandani nje ya nchi at factory price na kutuletea
Bidhaa gani na hio factory price ni kiasi gani ? Kila ukinunua bidhaa nyingi ndio uwezo wako wa kubargain price unavyoongezeka anayenunua unit 100 sio sawa na anayenunua units 100,000 na Taasisi yenye uwezo wa kununua hizi units zaidi ya hata 400,000 kwa mpigo ni taasisi ambayo inaweza kuhakikisha upatikanaje wa umeme wa uhakika nayo ni TANESCO
Hutaki utajirike?
Nadhani jibu la hapa utalipata hapo juu
Nenda kanunue hizo ex factory price acha porojo humu changamkia hiyo fursa na wewe uwe bilionea kama akina Bakheresa, Mo Dewji nk huwezi tuache na gesi yetu na najiko yetu ya gesi ya kupikia

Shut up
Naona umeanza Viroja baada ya kukosa Hoja na sina uhakika kama ni kujitoa ufahamu au kukosa kwako uelewa..., by the way hio sio gesi yenu Tanzania hatuna production ya LPG tunaagiza kutoka nje na bei ikipunguzwa itakuwa ni kodi zako kwa kutumia ruzuku...

Ushauri wa bure sasa hivi knowledge ipo widely available wala huitaji kutoa pesa ingia online jielimishe...
 
Naanza kupata mashaka na uelewa wako ? Hadi mtu akupe factory price ni kwamba unanunua kiasi kikubwa ndio maana hata sukari au cement kuna mawakala ambao wanapewa bei ya chini ili waje kusambazia watu rejareja..,
Wewe ndio huekew8

Sawa wako wa bidhaa zote iwe sukari,Vipuri,mafuta ,majiko ya gesi nk sector binafsi wafanyabiashara binafsi ndio hununua huko factory price na kuleta tena meli na meli kama ni sugari wanaagiza Brazil ya kutosha nchi nzima kama ni mafuta ya magari wananunua ya kutosha nchi nzima kama ni majiko ya gesi wananunua ya kutosha nchi nzima nk

Usituletee ngonjera hapa za kijinga kanunue wewe lete kama hao wengine wanavyonunua factory price huko nje na kuleta hujazuiwa

Kuna magenta wa majampuni ya kimataifa hata hapa Tanzania kibao wananunua bidhaa at ex factory price huko nje za kutosha nchi nzima na kutuletea

Sio Big deal hiyo kalete sio wazo jipya waka kitu kipya labda uone kama umetoa bonge la Idea!!! Hamna kitu

Nenda kalete wewe kama unaona hiyo business ni viable na rate of return iko OK kwa vigezi vyote vya rate of Return iwe internal rate of return, capital etc sio Big deal
 
Induction cooker ni nzuri sana, magnetic ni ajabu sana ukibandika sufuria zake ukiwasha tu maji yanaanza kuchemka😂😂 na ukiepua kile kitako joto limepotea
Hao ndio watu weupe kila siku science kwao ni kutatua matatizo waishi vizuri sisi tuzalishe wasomi wasio n Tina kama tibijuka au wanasheria wapumbavu kama lisu wanasaikolojia ndez kama making n kundi lake engine waweke mabango ya mapenz kama mketema halafu tujze kizazi cha kunenepesha mkalio pathetic naandika jwa uchungu hyo induction mweupe katuliza akili mm naweka kwenye induction hapo hapo naweka na gesi bwana wee gesi inakalishwa
 
Hao ndio watu weupe kila siku science kwao ni kutatua matatizo waishi vizuri sisi tuzalishe wasomi wasio n Tina kama tibijuka au wanasheria wapumbavu kama lisu wanasaikolojia ndez kama making n kundi lake engine waweke mabango ya mapenz kama mketema halafu tujze kizazi cha kunenepesha mkalio pathetic naandika jwa uchungu hyo induction mweupe katuliza akili mm naweka kwenye induction hapo hapo naweka na gesi bwana wee gesi inakalishwa
Hao ndio watu weupe kila siku science kwao ni kutatua matatizo waishi vizuri sisi tuzalishe wasomi wasio n Tina kama tibijuka au wanasheria wapumbavu kama lisu wanasaikolojia ndez kama making n kundi lake engine waweke mabango ya mapenz kama mketema halafu tujze kizazi cha kunenepesha mkalio pathetic naandika jwa uchungu hyo induction mweupe katuliza akili mm naweka kwenye induction hapo hapo naweka na gesi bwana wee gesi inakalishwa
Mtu anayetumia induction kwa maelekezo hawezi ishusha kwa Gas. Wengi wanbisha tu Labda walikutana na zile zinazotoa rangi moto kama Infrared sijui au hakuset moto vizuri lazima alalamike umeme . Lakini hizi za Induction ni kamiujiza 😂😂 Gas ibaki kwa emergency umeme ukikatika dharura
 
Back
Top Bottom