Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
- Thread starter
- #81
Na kuboresha maisha ni kuhakikisha watu wanabaki na disposable income na wanaweza kufanya hivyo huenda kama watahakikisha watu katika kupika hawatumii pesa....Unauziwa jiko la gase la elfu 20, gase ikiisha unaenda umbali wa km 40 hadi 70 kujaza tena gase, nauli unatumia kati ya sh. Elfu 5 hadi elfu kumi. je,gharama hizo mwananchi wa kawaida ambae anashindia 1/3 ya milo kwa siku ataziweza?
Serikali iboreshe maisha ya wananchi kwanza kabla ya kuleta hizo nishati mbadala.
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...