Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
- Thread starter
- #61
Hivi hata unajua unachoongea Sukari wala sijaongelea kutoka nje ndani ya nchi kuna watu wanavibali vya kusambaza (authorized dealers) kuna watu kama Mwanza Huduma ndio wasambazaji unakuta wanaleta cement Mwanza ndio kusambazia watu..., Sukari kuagiza nje mpaka vibali ndio maana hata kuna kesi ya Luhaga Mpina kuhusu watu wasiokuwa na experience ya hio kazi walipewa vibali..., kwahio kwenye hili tu umeonesha jinsi uelewa wako ulivyo limited..., Kuna watu ni authorized dealers wa kitu fulani katika nchi fulani wameshaingia mikataba kwamba hilo soko ni la mtu huyo wala hicho kiwanda hakitasumbuka kumuuzia mwingine, narudia tena hii ni karne ya information at your fingertips tumia muda kujielimishaWewe ndio huekew8
Sawa wako wa bidhaa zote iwe sukari,Vipuri,mafuta ,majiko ya gesi nk sector binafsi wafanyabiashara binafsi ndio hununua huko factory price na kuleta tena meli na meli kama ni sugari wanaagiza Brazil ya kutosha nchi nzima kama ni mafuta ya magari wananunua ya kutosha nchi nzima kama ni majiko ya gesi wananunua ya kutosha nchi nzima
Hapo tu kwenye Picha ya huu uzi umeshaona kwamba minimum order ya kupewa kwa dollar sita ni units 1,000 sasa bila taasisi yenye uhakika wa consumption hii itakuwa a risky business....
Wengine ni kina nani ? Hivi hata unajua maana ya factory price ? Ngoja nikupe mfano hivi unadhani mfano Dangote na kiwanda chake cha Cement kuna wale wasambazaji ambao wamepewa contract unadhani kila mtu anaweza kutoa order kiwandani au watambwambia kamuone agent wetu sehemu fulani;nk
Usituletee ngonjera hapa za kijinga kanunue wewe lete kama hao wengine wanavyonunua factory price huko nje na kuleta hujazuiwa
magenta na ex factory unamaanisha nini ? Na ukishasema agent ndio hivyo hao wana mkataba wa kusambaza sehemu husika hivyo tayari wameshaingia contract na wamepewa minimum order ya kusambaza kwahio huwezi tu kuwa agent bila kukidhi baadhi ya vigezo hususan kama kampuni ni kubwa...Kuna magenta wa majampuni ya kimataifa hata hapa Tanzania kibao wananunua bidhaa at ex factory price huko nje za kutosha nchi nzima na kutuletea
Narudia tena uelewa wako ni mdogo sana na hapa wala siongelei kwa manufaa ya mtu kupata faida kama mfanyabiashara bali kwa nchi kwa ujumla na wananchi kuweza kusave pesa zao na Kodi zao sababu kitu wanachopewa kina gharama zaidi wakati wangeweza kupewa kitu cha gharama kwa gharama nafuu na chenye ufanisi wa kutosha...Sio Big deal hiyo kalete sio wazo jipya waka kitu kipya labda uone kama umetoa bonge la Idea!!! Hamna kitu
Nenda kalete wewe kama unaona hiyo business ni viable na rate of return iko OK kwa vigezi vyote vya rate of Return iwe internal rate of return, capital etc sio Big deal
Kabla sijafika mbali nenda kaangalie ni nini maana ya Economy of Scale au ni jinsi gani Volkswagen (The Peoples Car waliweza kufanikiwa kutengeneza gari na kuuzia watu bei ambayo kwa kipindi hicho ilionekena haiwezekani....
Ukiwa na volume kubwa / wahitaji wengi na bei inapungua....