Nishati Safi ya Kupikia: Badala ya Kugawa Mitungi ya Gesi, Kwanini tusigawe induction Cookers

Na kuboresha maisha ni kuhakikisha watu wanabaki na disposable income na wanaweza kufanya hivyo huenda kama watahakikisha watu katika kupika hawatumii pesa....
 
Sijakupata mkuu! Unaweza ukaeleza kwa kina unachomaanisha? Je umekubaliana na hoja yangu au?
 
Sijakupata mkuu! Unaweza ukaeleza kwa kina unachomaanisha? Je umekubaliana na hoja yangu au?
Tunaboreshaje maisha ya mwananchi, moja wapo ni kuhakikisha tunampunguzia matumizi, Je tunampungiziaje matumizi kwa kuweza kumfanya akawa mwekezaji na kuweza kupikia chakula kwa gharama ya Tshs 0/= na kuwa mwekezaji wa kuwauzia Tanesco umeme

 
Mbona tunaambiwa mambo ya kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani ? Au ni swaga
 
Mbona tunaambiwa mambo ya kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani ? Au ni swaga
Sio swaga yaani wanatuliwa lakini baadhi ya maeneo kuna maji yenye chumvi kiasi kwamba hupikii hata mboga za majani zinakacha haziivi,chakula hakiivi Iwe wali au ugali. Na hakuna mashine ya kuyachuja chumvi hivyo ina lazimu kujitwisha tena kichwani kuyafuata yanayofaa umbali mreeefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…