adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Nitajie nchi za kiislamu ni zipi na vigezo gani vinatumika kutambua kuwa nchi fulani ni ya kiislamu ?Tueleze ni kwa nini watu hawakimbilii nchi za kiislamu na wanakimbilia nchi za makafir?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie nchi za kiislamu ni zipi na vigezo gani vinatumika kutambua kuwa nchi fulani ni ya kiislamu ?Tueleze ni kwa nini watu hawakimbilii nchi za kiislamu na wanakimbilia nchi za makafir?
Ficha. Jina mzeeMimi sio verified member.
By the way ntakushangaza kuhusu ticket we Acha Tu maana itaonekana uongo mwingine...maana wabongo wame kremu vitu.
Nibebe na mimi basi kwenye begHii nitaweka siku ikikaribia ili watu wafurahi
Aliepata visa mwenyewe hawezi kuuliza haya mambo madogo bhana...mtoto wangu mwenyewe ni chalii ila anasafiri mwenyewe hawezi kuniuliza eti Japan Hotel ya gharama nafuu ni ipi unakuta ashafanya booking mwenyewe na kulipa na kwenda sisi wengine ni Maveterani mambo ya hizo Safari...Humu ndani ujuaji mwingi balaa. Sasa nisaidiwe na kabisa au msikiti kwani mi sijiwezi. Km ni easy baasi nenda kanisani au msikitini kwenu kawaambie wakutaftie visa
Mkuu mimi sijasema mzamiaji ila nimeshangaa kuuliza nyumba USA wakati zipo Safari bookings,Trip advisor,Tour Radar BnB Link siamini kwa msafiri usijue hawa watu labda kama pana kitu kingine...Elewa mtu anayeenda Ku visit na anaongeza mapato ya ile nchi aendayo. Na kama unaenda Ku visit na kutalii Tu na kuondoka hakuna nchi itakua na shida na wewe.
Mi sio mzamiaji kama unavyodhani wewe.
FaizaFoxy ni mjuzi zaidi.Nitajie nchi za kiislamu ni zipi na vigezo gani vinatumika kutambua kuwa nchi fulani ni ya kiislamu ?
mkuu Nia hangu hasa nipate uzoefu Kwa ambaye amashafanya km nilivyouliza. Yaani nipate desa practical kabisa. Unajua ni hulka ya kiubinadam km akitokea mtu akakuambia ABC alizofanya then ukafanya unakua na utuliv wa Moyo. Sio kwamba Ku google siwez la hasha. Nahitaji alichofanya mwenzangu nami nipitie kule kule as long as it's within my parameters.Mkuu mimi sijasema mzamiaji ila nimeshangaa kuuliza nyumba USA wakati zipo Safari bookings,Trip advisor,Tour Radar BnB Link siamini kwa msafiri usijue hawa watu labda kama pana kitu kingine...
I know mkuu. na sio kwamba sija Google hapa na pale. Sema nataka desa practical km kuna mshikaji kafanya nami nipitie humo humo.Aliepata visa mwenyewe hawezi kuuliza haya mambo madogo bhana...mtoto wangu mwenyewe ni chalii ila anasafiri mwenyewe hawezi kuniuliza eti Japan Hotel ya gharama nafuu ni ipi unakuta ashafanya booking mwenyewe na kulipa na kwenda sisi wengine ni Maveterani mambo ya hizo Safari...
Sijachelewa ni ishu ya pesa tu ata kesho naipataumechelewa mkuu 🤣🤣🤣 visa take time kupata
Ahahah walikuona cool ningepiga biti moja kali sanawe jamaa wale utafkiri unaenda mbinguni. Mimi mpk passport inarudi ilichukua miezi miwili
Ujuaji hapo ni kwenye nini mkuu?Punguza ujuaji
mkuu samahani hii ya 150k sio expensive hii? maana hapo tuseme ni dollar 70 flani hivi.Mkuu ingia Playstore download application inaitwa Worldhostel. Jisajili Kisha tafuta hostel New York utapata ni very cheap. Unaruhusiwa kulipa asilimia 25 ya Hela nzima Kisha amount inayobaki utailipa siku ya kuingia.
Kwa mfano nimejaribu kubook hii imekuja 150,000 Kwa siku ni Moja ya cheapest hostel NYC.
AIRBNB kama hujawahi kuitumia ni vigumu kupata host.
Tumia hii hostel world.View attachment 2696070
Airbnb kama hujawahi kutumia account yako kubook sehemu yoyote Huwa inakuwa ngumu host kuapprove request yako Ili ukae kwake, wanakosa Imani na wewe kwasababu account Haina review Tena ukiwa black ndio kabisa.mkuu samahani hii ya 150k sio expensive hii? maana hapo tuseme ni dollar 70 flani hivi.
Ugumu WA Airbnb uko wapi kupata host?
Kwa mfanoAirbnb kama hujawahi kutumia account yako kubook sehemu yoyote Huwa inakuwa ngumu host kuapprove request yako Ili ukae kwake, wanakosa Imani na wewe kwasababu account Haina review Tena ukiwa black ndio kabisa.
Ila Hawa World Hostel hawana hizo.
Kuhusu bei za World hostel utajiwekea filter ya bei unazotaka. Ila nimetoka kuserch bei nyingi hapo New York za chini kabisa ni 140,000 Tena zingine sio chumba ni bed kwenye dooms