Nishaurini accomodation cheapest New York city naenda mwezi wa nane mwaka huu 2023 kwa siku mbili tatu tu

Nishaurini accomodation cheapest New York city naenda mwezi wa nane mwaka huu 2023 kwa siku mbili tatu tu

Airbnb kama hujawahi kutumia account yako kubook sehemu yoyote Huwa inakuwa ngumu host kuapprove request yako Ili ukae kwake, wanakosa Imani na wewe kwasababu account Haina review Tena ukiwa black ndio kabisa.


Ila Hawa World Hostel hawana hizo.


Kuhusu bei za World hostel utajiwekea filter ya bei unazotaka. Ila nimetoka kuserch bei nyingi hapo New York za chini kabisa ni 140,000 Tena zingine sio chumba ni bed kwenye dooms
hapo nimekupata. Ngoja ni download nione
 
Fikia kwenye Motels, rather thann hotels ama hostels kama unatabaka ku save budget. Ziko cheaper haziko kivile, lakini unakuwa na chumba chako mwenyewe kwa usalama, maji moto kuoga, safe deposit box, TV etc. Mfano Red Roof Inn, Days Inn, Super 8, na kadhalika. At least wako below $80 kwa siku
 
h
Fikia kwenye Motels, rather thann hotels ama hostels kama unatabaka ku save budget. Ziko cheaper haziko kivile, lakini unakuwa na chumba chako mwenyewe kwa usalama, maji moto kuoga, safe deposit box, TV etc. Mfano Red Roof Inn, Days Inn, Super 8, na kadhalika. At least wako below $80 kwa siku
thanks kwa ushauri. will google the same
 
Dini imekufanya umekuwa mjinga sana pumbavu kabisa.

YMCA na YWCA zipo dunia nzima hata Tanzania ndio cheap accommodation na cheap food price, lakini hakuna Mkristo anaweza Ingiza udini kujivunia hilo, mpumbavu mkubwa wewe.
Wewe poyoyo tu, hata unachokisoma hukielewi.
 
Tafuta kwenye mtandao sehemu zinaitwa "sleep station", ipo moja maarufu inatwa "Central park sleep station?. Hiyo ni cheap and best.


Pia nakushauri tafuta " Youth Hostels".

Uislam ni mwema sana, ukiwa Muislam unakwenda ofisi za Markaz Tabligh ya Tanzania wanakuunganisha na Markaz Tabligh ya New York, umefunga kazi. Salama, amani na official. Kwingine zinaitwa 'Jamaat Tabligh".

Mdini huyo kishakoment kama kawaida yake
 
AlhamduliLlah, katika majiji niliyotenbelea duniani, New York nilipapenda na kupashangaa sana Times square kwa vituko vyake na kuona watu wa aina tofauti tofauti, New York ni pazuri kwa kutembea wiki mbili tatu tu siyo pakuishi kama hauingizi pesa za kutosha, usizidishe mwezi, utafilisika. Sema kazi ni nyingi sana, ukibahatika uanapata kazi nzuri tu. Ukitaka kazi haraka haraka za kawaida, nenda maduka makubwa ya Wataliano ya nguo, hawakosi kazi, sema ni wachapa kazi sana, hakuna kupumzika kijinga kijinga. Jionee palivyo:

 
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
1) HI NEW YORK CITY HOSTEL (USD 44 PER NIGHT)
2) NY MOORE HOSTEL (USD 56 PER NIGHT)
3) KAM WAY LODGE & TRAVEL HOSTEL (USD 54 PER NIGHT)
4) CENTRAL PARK WEST HOSTEL (USD 63 PER NIGHT)
5) THE LOCAL-HOTEL (USD 65 PER NIGHT)
* All Inclusive of Taxes & Fees
 
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
1) HI NEW YORK CITY HOSTEL (USD 44 PER NIGHT)
2) NY MOORE HOSTEL (USD 56 PER NIGHT)
3) KAM WAY LODGE & TRAVEL HOSTEL (USD 54 PER NIGHT)
4) CENTRAL PARK WEST HOSTEL (USD 63 PER NIGHT)
5) THE LOCAL-HOTEL (USD 65 PER NIGHT)
* All Inclusive of Taxes & Fees
Bei poa kabisa hizo kwa New York.
 
Tafuta kwenye mtandao sehemu zinaitwa "sleep station", ipo moja maarufu inatwa "Central park sleep station?. Hiyo ni cheap and best.


Pia nakushauri tafuta " Youth Hostels".

Uislam ni mwema sana, ukiwa Muislam unakwenda ofisi za Markaz Tabligh ya Tanzania wanakuunganisha na Markaz Tabligh ya New York, umefunga kazi. Salama, amani na official. Kwingine zinaitwa 'Jamaat Tabligh".
Kama sio muislam hapokelewi huko kwa waislam??
 
u Remind me of my baby Blair Powel Walton, toto moja la kimarekani lililonipa MAhaba nkagoma kurudi Tanzania baada ya Kumaliza Degree yangu pale UCLA yaani University of Califonia, Los Angeles !! Achana na pacha wake UCSD University of califonia San diego maana wengi walikuwa wanachanganya! so pisi ilkikuwa inakaa kishua sana ... baba yake alikuwa na mahotel new york so wakati namkimbizia i had to be staying in New york shitholes just to sustain my black ass! sema nilikuwa ambitious sana My guy, anyways enough about Mtoto Blair story for another time!! Sleep on these 3 shitholes 1. West Side YMCa ipo 5 west 63rd street upande wa juu kule.... 2.Bowery Lodge ipo 81 Bowery East Side ya chini , na mwisho keep your ugly ass at the pacific hotel. Taka taka zote hizi ni under 100$ chini hukoooooo..... New york bhana , kuna wamarekani hawajawahi hata kufika na ukiwaambia umetoka new york wanakuona mjanja saanaaaaaaaa , its like uende chuga useme umetoka Daslam majita wanakuona mnyamweziiii 😁 😁 😁 😁 😁. My arusha people will kill me after seeing this post (M fuckin jokin bro) But True New york city Better carry some Good Cash My guy! Like i always say Good Places = Quality Time = Good High Quality women

remember New york slangs to keep u going wack- LOUSY GUCCI- Good stuff , Ratchet, Cringee, Frontin

Adios, Go ENjoy yourself son

Oligarchy "OLI"
BORN POOR, DYING RICH NIGGER

 
Back
Top Bottom