Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

Unataka kumweka ndani Malaya, basi andaa na kaburi lako kama saba sita na jeneza/ sanduku. either ufe wewe kiafya au kifedha.

Aina hiyo ya wanawake ni watamu kitandani.
Waraghai mdomoni na waongo machoni.

Na hili ndio linalowakwamisha mabarubaru wengi sio wewe tu mkuu

Ushauri:Toa machozi ya mamba, anamtafuna ngiri huku akilia.

Mpigie chini, kama utataka kumtafuna ufanye kama hao wengine.
 
Karibu Dar as salaam ndugu..utazoea tu...
 
Huyo ana ma x zaidi ya 3 ila malaya huwa wanatajaga x 3 tuu.

Oa piga mimba haraka. Wanawake wote wa kisasa ni malaya. Wee mvune watoto, ndo itakuwa furaha yako.
 
Dalili ya mvua ni mawingu. Hujui ufanye nini? Jitoe ufahamu!
 
Cha kufanya kipo wazi kabisa hapo, soma Vizuri kinajieleza kabisa.
 
Pole sana,,bado unaendelea naye? Subiri akuzalishie watoto
 
So far mpaka hapo hujuwi kabisa ufanye nini??

Grow up. Man up.

-Kaveli-
 
Hahah. [emoji2][emoji2][emoji2] Siwezi shauri mapenzi ya kichuo chuo sjui kimeenda tulimaliza chuo...


Utoto unawasumbua mkikuwa mtaacha. Nashaur mahusiano yenye misingi ya ndoa uhun uhun huu wakitoto sio
 
Achana naye kunguru hafugiki kesho Yako ngumu .huyo hafai ukishupaza shingo itajuta mbeleni
 
Achana na hiyo Ng'ombe itakuja kukupiga tukio baya ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…